Mengi vs Manji: Ukweli ni upi?

Mengi vs Manji: Ukweli ni upi?

FD,
Kwa data tu sikuwezi, yakhe. Ile ya kugharimia harusi ya nani vile? Nilikuwa sina habari kabisa. Next time I want to hang around you
 
Jasusi,

Hivi wewe ni wa CIA au Mossad au defunct KGB? kwi kwi kwi
Karibu mbona sio mbali na hapo ulipo?

Unauliza kama ni ya Curtis au Mwav.....?

FD
 
Mlalahoi,
Inayat Manji na Yusuf Manji ni watu wawili tofauti. Huyu Yusuf Manji alitaka kupitia jimbo la Kigamboni. Alikuwa anajulikana zaidi kama mfanyabiashara, kijana, tajiri. Aliona na yeye afuate nyayo za Mohamed Dewji, ambaye naye ni kijana na tajiri, katika lingo wa siasa. Nasikia hawa jamaa wawili, ambao ni marafiki, pia wanakuwa na "ushindani" wa aina fulani.
 
FD,
Mimi ni defunct KGB, kwi!kwi!kwi!
Zile picha za harusi niliziona nikasema mapesa yamemwagika pale, lakini sikujua who was behind it.
 
Jasusi,

Si ile harusi ya January Makamba?

ambayo baada ya harusi akapewa na nyumba yenye kila kitu ndani? au nimekosea?
 
Duh, kumbe vigogo ndio wanahondomola hivyo! ole wao kwa vile manyanyaso ya waTz yapo juu ya vichwa vyao na familia zao.
 
Ni wazi kuwa Manji ni mfanyabiashara corrupt and very manipulative. For the sake of making a point that you can't just buy your way to ubunge, I think it was OK for CCM to drop him. Ingawa sometimes I think kwa kutaka sifa na publicity pengine angefanya makubwa sana jimboni mwake, of course perhaps at the expense of some even higher manipulations for the sake of his business.

As for Mengi kupenda publicity anapotoa misaada as asked by FD, I think it is simply good for his corporate image. It even works better when his dark side is being revealed, as it gets him a lot of sympathisers na watetezi hata kabla hawajafuatilia ukweli wa habari husika.

Manji's dark side became known to the public through the media, but that won't be the case for Mengi. Just like wanamtandao are now being perceived to have bought the media to only speak good of them, Mengi surely owns a big chunk of the media. You know what to expect.
 
Mlalahoi.

Kwani waislam wamekukosea nini? unasema Mao kasema no research no right to speak nakubali lakini wewe ulituambia humu kuwa Es yuko marekani hadi mwenye alipokuijia juu kuwa una ushahidi kama yeye yuko huko, kumbe hukufanya utafiti ulikurupuka tu na kutudanganya?

Pia unasema mjadala wa Mengi ni ubabaishaji hauna faida yeyote na maneno au tuhuma anazopewa hazina ushahidi wakati umeambiwa suala liko kwa Manumba kwanini usipige simu kwa Manumba halafu akisema halipo ungekuja humu na kusema mjadala huu ni uzushi tu.

Mfano mzuri mimi nilikuwa sijui suala lilifikishwa House Of Commons ni la Mengi kutokana na mjadala huu tumeweza kujua kumbe mheshimiwa ametuchafua hadi kwa wafadhili wetu, hivi unafanya utani wabunge 645 ndani ya bunge wanasikia ndugu yao kazikwa na akina Mengi toka Tanzania? huoni jina la nchi linachafuliwa na mtu au familia moja kumbuka wazungu hawakurupuki kama mimi na wewe wanaweza baadae wakawa na mashaka na nchi yetu. pia kama serikali yetu inahangaika na wawekezaji huku muingereza kazimwa milion£ 3.5 huoni ni vigumu kwa wengine kuja kuwekeza?au tukiuliza tutaambiwa tunamsakama bila ushahidi nadhani kwa watu wanaotizama mbali Mengi na familia yake wametuadhibu sana (wametubebesha msalaba mzito).

Kumbuka Action Aid. Oxfarm,Red Cross,Plan International ambao wanaleta misaada Tanzania wanakusanya hizo pesa toka kwa wafanyabiashara na wafanyakazi si fungu la serikali na misaada yao haifanani na ya Mengi (lunch kwa walemavu mwaka mara moja) leo wasome kwenye magazeti mwenzao kaibiwa itawavunja nguvu.

Nashangaa unashindwa kujua kuwa wawekeza au international organisations mara nyingi uhakika wa usalama wa mali zao na maisha yao(gurantee of peace&security) ndio vitu muhimu kwao kwenda nchi husika. hivi nani anafikiria kwenda kuwekeza Somalia labda Mlalahoi.

Unadai wewe ni msomi kwenye mada yako hapo juu kama wewe ni msomi na Professor mwandosya au Dr. Migiro nani? Degree yako ya kwanza umeipata kwa kuungaunga tena umefanya kazi miaka mingi tu hadi ilipokuja loophole ya vyuo vikuu binafsi ndio nawe ukawa wa mwanzo kwenda kujisajili tena chuo ulichosoma hakikuwa hata na mizengwe ya kupokea wanafunzi hivi ungesoma UDSM tungelala Mlalahoi? na hata kozi ulisoma si ya kiume ndio maana UDSM hawakuona haja ya kuwa nayo kwa miaka mingi waliona haina maximum Impact kwenye nchi, zaidi ya hapo hata mtu ukimwambia umegraduate chuo fulani(chako) atakuuliza mara mbili mbili kiko wapi? mbona umeshindwa hata kusoma Mzumbe? kweli tukuite msomi wewe! najua chuo chako lecturers walikuwa na degree moja tu na kilikuwa hakina vifaa kabisa.

Na hii masters yako inanitisha zaidi ungekuwa mwanaume ungeomba masters UDSM? pia wanafunzi wa kweli ambao wako mwishoni mwa kozi zao kama wewe wasingekuwa na muda wa kuleta hoja za utumbo humu. ungekuwa busy kutayarisha dissertation yako au labda umeshanunua cheti unaona noma kurudi mapema bongo utashutukiwa?au umewakatia kitu kidogo Nigerians wanakufanyia Dissertation yako? au umetumia ule mtindo ambao watoto wengi wa vigogo huutumia tena kwenya kile chuo maarufu chenye wabongo wengi ambapo Dissertation moja hiyo hiyo ina kopiwa na kupaste nahakika na hii njia kwani mara nyingi una copy na kupaste mada, msomaji wa kweli angekuwa busy lakini kwa vile usha copy dissertation yako ndio maana uko free kiasi hicho? maana mara tukuone pale Hyat Churchill Hotel unamsubiri JK ile safari anarudi USA tena ulikuwa busy na hatimaye JK akawakaushia.
mara ujifanye usalama uko busy na mzee wa Kihaya aliyekabidhiwa majukumu hayo official.
kama kweli wewe ni mwanafunzi makini usingekuwa na muda huo,
Pia waislam wamekukosea nini wao ndio waliokuwa wenyeji wako wakikupakia kwenye magari yao na kukupa uenyeji leo umewageukia au kukukaribisha kwenye jiji na kukuonyesha vichochoro ndio ilikuwa Jihad? tena wewe mtu mbaya unachafua watu hadi ubalozini acha hivyo ndugu yangu watu wamekuja kutafuta kama Mengi anavyotafuta
 
Mswahili,
Nadhani ni bora tujadilie issue na tuepukane na kuingiza vitu personal.
 
Yes Jasusi nami nakuunga mkono, wazee kwa mambo personal naomba tuandikiane kwenye pm, personal attacks put off a lot of people from whom the forum would have benefited from lively debates! tafadhali wandugu, chondechonde!
 
Mwanagenzi said:
Mlalahoi,
Inayat Manji na Yusuf Manji ni watu wawili tofauti. Huyu Yusuf Manji alitaka kupitia jimbo la Kigamboni. Alikuwa anajulikana zaidi kama mfanyabiashara, kijana, tajiri. Aliona na yeye afuate nyayo za Mohamed Dewji, ambaye naye ni kijana na tajiri, katika lingo wa siasa. Nasikia hawa jamaa wawili, ambao ni marafiki, pia wanakuwa na "ushindani" wa aina fulani.

Nashukuru kwa ufafanuzi.
 
mswahili said:
Mlalahoi.

Kwani waislam wamekukosea nini? unasema Mao kasema no research no right to speak nakubali lakini wewe ulituambia humu kuwa Es yuko marekani hadi mwenye alipokuijia juu kuwa una ushahidi kama yeye yuko huko, kumbe hukufanya utafiti ulikurupuka tu na kutudanganya?

Pia unasema mjadala wa Mengi ni ubabaishaji hauna faida yeyote na maneno au tuhuma anazopewa hazina ushahidi wakati umeambiwa suala liko kwa Manumba kwanini usipige simu kwa Manumba halafu akisema halipo ungekuja humu na kusema mjadala huu ni uzushi tu.

Mfano mzuri mimi nilikuwa sijui suala lilifikishwa House Of Commons ni la Mengi kutokana na mjadala huu tumeweza kujua kumbe mheshimiwa ametuchafua hadi kwa wafadhili wetu, hivi unafanya utani wabunge 645 ndani ya bunge wanasikia ndugu yao kazikwa na akina Mengi toka Tanzania? huoni jina la nchi linachafuliwa na mtu au familia moja kumbuka wazungu hawakurupuki kama mimi na wewe wanaweza baadae wakawa na mashaka na nchi yetu. pia kama serikali yetu inahangaika na wawekezaji huku muingereza kazimwa milion£ 3.5 huoni ni vigumu kwa wengine kuja kuwekeza?au tukiuliza tutaambiwa tunamsakama bila ushahidi nadhani kwa watu wanaotizama mbali Mengi na familia yake wametuadhibu sana (wametubebesha msalaba mzito).

Kumbuka Action Aid. Oxfarm,Red Cross,Plan International ambao wanaleta misaada Tanzania wanakusanya hizo pesa toka kwa wafanyabiashara na wafanyakazi si fungu la serikali na misaada yao haifanani na ya Mengi (lunch kwa walemavu mwaka mara moja) leo wasome kwenye magazeti mwenzao kaibiwa itawavunja nguvu.

Nashangaa unashindwa kujua kuwa wawekeza au international organisations mara nyingi uhakika wa usalama wa mali zao na maisha yao(gurantee of peace&security) ndio vitu muhimu kwao kwenda nchi husika. hivi nani anafikiria kwenda kuwekeza Somalia labda Mlalahoi.

Unadai wewe ni msomi kwenye mada yako hapo juu kama wewe ni msomi na Professor mwandosya au Dr. Migiro nani? Degree yako ya kwanza umeipata kwa kuungaunga tena umefanya kazi miaka mingi tu hadi ilipokuja loophole ya vyuo vikuu binafsi ndio nawe ukawa wa mwanzo kwenda kujisajili tena chuo ulichosoma hakikuwa hata na mizengwe ya kupokea wanafunzi hivi ungesoma UDSM tungelala Mlalahoi? na hata kozi ulisoma si ya kiume ndio maana UDSM hawakuona haja ya kuwa nayo kwa miaka mingi waliona haina maximum Impact kwenye nchi, zaidi ya hapo hata mtu ukimwambia umegraduate chuo fulani(chako) atakuuliza mara mbili mbili kiko wapi? mbona umeshindwa hata kusoma Mzumbe? kweli tukuite msomi wewe! najua chuo chako lecturers walikuwa na degree moja tu na kilikuwa hakina vifaa kabisa.

Na hii masters yako inanitisha zaidi ungekuwa mwanaume ungeomba masters UDSM? pia wanafunzi wa kweli ambao wako mwishoni mwa kozi zao kama wewe wasingekuwa na muda wa kuleta hoja za utumbo humu. ungekuwa busy kutayarisha dissertation yako au labda umeshanunua cheti unaona noma kurudi mapema bongo utashutukiwa?au umewakatia kitu kidogo Nigerians wanakufanyia Dissertation yako? au umetumia ule mtindo ambao watoto wengi wa vigogo huutumia tena kwenya kile chuo maarufu chenye wabongo wengi ambapo Dissertation moja hiyo hiyo ina kopiwa na kupaste nahakika na hii njia kwani mara nyingi una copy na kupaste mada, msomaji wa kweli angekuwa busy lakini kwa vile usha copy dissertation yako ndio maana uko free kiasi hicho? maana mara tukuone pale Hyat Churchill Hotel unamsubiri JK ile safari anarudi USA tena ulikuwa busy na hatimaye JK akawakaushia.
mara ujifanye usalama uko busy na mzee wa Kihaya aliyekabidhiwa majukumu hayo official.
kama kweli wewe ni mwanafunzi makini usingekuwa na muda huo,
Pia waislam wamekukosea nini wao ndio waliokuwa wenyeji wako wakikupakia kwenye magari yao na kukupa uenyeji leo umewageukia au kukukaribisha kwenye jiji na kukuonyesha vichochoro ndio ilikuwa Jihad? tena wewe mtu mbaya unachafua watu hadi ubalozini acha hivyo ndugu yangu watu wamekuja kutafuta kama Mengi anavyotafuta

Takbir,

Unajua nilikuwa sijakufahamu.Kumbe wewe ni yule kijana nilokuwa nakutuma ukaniitie MAMA yako?Hey,yale mambo ya zamani bado unayamaindi ilhali sasa ushakuwa mtu mzima?Umeuliza kama ningekuwa mwanaume...well,your mama knows better than you about uanaume wangu.Simply ask her.

You know what?nilikuwa najiuliza,hivi huyu mtu anayejifanya anayajua maisha yangu to that extent ni nani.Then I went through a small list of my Xs ndio nikakukumbuka.Hasira zote hizi kwa ajili ya mambo ya zamani?Take it easy.Respect me,I'm ur step father.Your mama wont like what you're doing.Ni rahisi watu kuamini kuwa mimi na wewe tunajuana.Nilijaribu to keep that as a secret out of respect for my step son,lakini mtoto mapepe umemwaga nyeti hadharani.

Allah Akbar
 
I know the situation is getting out of control and I really dont like to look stupid for what i'm doing.But while i'm not trying to avoid blames from other board members I can't keep quiet when out of blue some lunatic tries to get into personal attacks.

How would you react if someone insists that you're a Ngoni while both your parents are Sukuma?Wht if the same person insists that you're working for CRDB when you're busy with carrying boxes in one supermarket as a p/t worker?

And how would you react when a Mzumbe student tries to discredit your previous UDSM qualifications?

You'd definitely do exactly what I'm doing:hit back.Keeping quiet or ignoring one who talks shit about you doesnt necessarily guarantee them to stop doing so.
 
Guys vipi? Haya mkisha maliza matusi subirini Takrima, pilau, kofia na fulana, ili muipe CCM, kura za 80%,

yes ni watu kama nyinyi wawili ndio chanzo cha kura 80%, I mean mmeambiwa kuwa jamani enough turudi kwenye issue, mmeng'ang'ania tu maneno ya low life ambayo hata viongozi tunaowapiga mawe hawawezi kuyasema hadharani licha ya kuyaandika kama kumbu kumbu,

Man hebu do us a big favor nendeni muanzishe forum ya low life's, I mean both of you it takes two, kwa hiyo hebu acheni sasa mnataka hata kuwafukuza watu wanaotaka kurudi, kusimamia hoja ni one thing, na mambo ya chooni ni another thing, wote you should be ashamed of yourselves,

watu wazima ovyo! Yaani sisi watu wazima
 
Definitely, I can't / don't see the role of this so called Administrator here!

Why don't you delete ASAP once the bullshit message appear? where the hell are you brows us to?

PLEASE DONT ENTERTAIN THOSE STUFF on this respected forum.

..........................
:U Can't Change The Nature:
 
Mzee Es said:
Guys vipi? Haya mkisha maliza matusi subirini Takrima, pilau, kofia na fulana, ili muipe CCM, kura za 80%,

yes ni watu kama nyinyi wawili ndio chanzo cha kura 80%, I mean mmeambiwa kuwa jamani enough turudi kwenye issue, mmeng'ang'ania tu maneno ya low life ambayo hata viongozi tunaowapiga mawe hawawezi kuyasema hadharani licha ya kuyaandika kama kumbu kumbu,

Man hebu do us a big favor nendeni muanzishe forum ya low life's, I mean both of you it takes two, kwa hiyo hebu acheni sasa mnataka hata kuwafukuza watu wanaotaka kurudi, kusimamia hoja ni one thing, na mambo ya chooni ni another thing, wote you should be ashamed of yourselves,

watu wazima ovyo! Yaani sisi watu wazima

Nimekusikia na kukuelewa.Nobody wants to do what I did,and trust me,I ant proud of it.Anyway,I'm not trying to clean my hands...but I believe hata wewe mheshimiwa uta-react in a certain way kama utatukanwa na mtu pasipo sababu.Utu uzima is one thing,kuvumilia maneno machafu is another.However,in the name of peace I wont respond to anything written against me.
 
Mr. CLEAN said:
Definitely, I can't / don't see the role of this so called Administrator here!

Why don't you delete ASAP once the bullshit message appear? where the hell are you brows us to?

PLEASE DONT ENTERTAIN THOSE STUFF on this respected forum.

..........................
:U Can't Change The Nature:

Nimekusikia na kukuelewa.I'm neither happy nor proud of what's been going on.Anyway,I'm not trying to clean my hands...but I believe hata wewe mheshimiwa uta-react in a certain way kama utatukanwa na mtu pasipo sababu.Utu uzima is one thing,kuvumilia maneno machafu is another.If someone picks a fight on you,sijui kama utaanza kujiuliza if you're mature enough or not,but one thing for certain is you gonna react.However,in the name of peace I wont respond to anything written against me.
 
Mlalahoi,

I catch u my bro...!

Please come down...ili kwa sisi tulio bongo tuumtumie huu mgao wa umeme ipasavyo kwa kusoma na kuchangia mambo endelevu!

............................
:U Can't Change The Nature:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom