zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Bila shaka CHADEMA wanahusika na kuzama memo hii
Hizi sio habari za kufanyiana mzaha, kwenye ile meli kuna Watanzania wa kila chama na wasio na vyama na kuna watoto wadogo wasiojuwa hata chama cha siasa ni nini. Fanyeni adabu kidogo kwa jambo hili.