mtoto mzee
Member
- Nov 10, 2011
- 38
- 4
Hata EL JAZEERA wametangaza muda huu kuhusu hili suala, dunia siku hizi ni kijiji. Ukifumbia macho kama Spika wetu alivotaka kufanya, wengine wataona na kuonea huruma wahanga!!!
AJE - Al Jazeera English
hata mimi niko Kenya, CitizenTv na KBC wamekua wakiupdate tangu ajali itokee. Kumbe Makinda hakuwa na taarifa