Meli ya MV Skagit yazama

Meli ya MV Skagit yazama

Na lazima wachakachue ili kuficha ukweli kama kawa... so 300-12-90 = 198 wapo wapi ???

Waliipoteza maisha na kuopolewa mpaka sasa ni watu 12 na walinusurika ni watu karibu 90, na mali inasemekana imesha zama yote.

Source: ZBC & CHANNEL TEN.
 
Hamjaiona maiti ya mwigulu mpaka sasa jamani 2nasubiri kwa hamu kuiona
 
Pole kwa wafiwa na watanzania wote kwa ujumla.Picha ninayopata hapa tangu ajali za meli zilizotangulia(km MV Spice Islander) ni kwamba meli zinazo-operate kati ya Bara na Zanzibar, hazifanyiwi ukaguzi wa kutosha na SUMATRA. Na inapotokea ajali ndio SUMATRA hujitokeza na kuwa wakali lakni kiukweli hakuna ukaguzi, na hii inahatarisha maisha ya watanzania wengi tu.
 
Jamani jamani, serikali iko wapi kulinda haki ya kuishi ya wananchi iliowekwa kwa mujibu wa katiba?
Ni muda sasa serikali kuhakikisha inafanya uangalizi wa usalama wa vyombo vya majini kabla ya kuruhusiwa kusafiri. Watu wanapoteza maisha kwa sababu ya uzembe unaoweza kuzuilika! Very disapointing and unacceptable.
 
inasemekana MV seagul ikitokea Dar kuelekea zanzibar imezama. kila tupato habari tutazidi kuhabarishana

Update:
Ilikua na abiria 200 na juhudi za uokoaji zinaendelea na tayari baadhi ya watu wameokolewa wakiwa hai na wengine bado wanaelea wakiwa na maboya. Taarifa za vifo bado hazijathibitishwa japo ukweli ni kwamba vifo vipo. Meli hiyo imewahi kuripotiwa kuwa mbovu mara kadhaa.
View attachment 59156

Ferry imezama kwa kuzidiwa na upepo na mawimbi ya bahari na sio ubovu.Pepo na sea waves yanazamisha hata meli mpya.Pili kwa kadri picha inayonyesha (check picha nyingine) ferry inayozama ukiangalia body lake sio sio MV Seagul. Inawezekana ikawa Mv KALAMA ou nyinginezo.
 
Hizi sio habari za kufanyiana mzaha, kwenye ile meli kuna Watanzania wa kila chama na wasio na vyama na kuna watoto wadogo wasiojuwa hata chama cha siasa ni nini. Fanyeni adabu kidogo kwa jambo hili.

makinda leo alikosa adabu kabisa....
 
This time tugomee serikali kuunda tume kwa ajili ya mambo Kama haya
Ambayo majibu yake yako wazi... Tunataka wakuu wa mamlaka husika kuwajibishwa!
Haiingii akilini hata kidogo kwamba hata majozi hajafutika ya watu waliokufa kwenye spice islander yanatokea yalayale.. Meli ilikuwa overloaded!!
 
Hivi Jah Kaya yupo kweli? Si ajabu atakua kaondoka kwenda SA kula bata la sherehe ya Madiba.
 
This time tugomee serikali kuunda tume kwa ajili ya mambo Kama haya
Ambayo majibu yake yako wazi... Tunataka wakuu wa mamlaka husika kuwajibishwa!
Haiingii akilini hata kidogo kwamba hata majozi hajafutika ya watu waliokufa kwenye spice islander yanatokea yalayale.. Meli ilikuwa overloaded!!

Haya ni matokeo ya serikali kuendesha nchi kama kilabu cha pombe chafu.Leo walevi watatukanana matusi ya nguoni wao kwa wao kesho wanakaa tena meza moja na kugonga kilaji.Ndivyo ilivyo na serikali yetu likitokea janga wanaunda tume na kutetemesha watu kwa muda wakidai wanatafuta wahusika wa uzembe uliosababisha maafa ili wawajibishwe lakini wapi hamna kitu.
Ila wanajua wananchi ni wasahaulifu tu 'haya ni upepo yatapita tu'.I've never came across a weird fellow like our beloved 'Dr'!!?? JMK.
 
Back
Top Bottom