Kiona
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 933
- 240
inasemekana MV seagul ikitokea Dar kuelekea zanzibar imezama. kila tupato habari tutazidi kuhabarishana
Update:
Ilikua na abiria 200 na juhudi za uokoaji zinaendelea na tayari baadhi ya watu wameokolewa wakiwa hai na wengine bado wanaelea wakiwa na maboya. Taarifa za vifo bado hazijathibitishwa japo ukweli ni kwamba vifo vipo. Meli hiyo imewahi kuripotiwa kuwa mbovu mara kadhaa.
View attachment 59156
Hivi huyu mzee ile kafara ya mwanzo aliyotoa haikutosha mpaka watoe tena kafara mara ya pili jamani??????????
Yani CCM imeona hili la kutoa roho za watu kwa njia ya kafara ndo suluhisho siyo. Toeni kafara rukeni juu ila chini mtatua tuu.
Mwenyezi mungu awajaze nguvu wote waliopatwa na mkasa huu. Uzembe wa serikali ya ccm ulaumiwe