Meli ya MV Skagit yazama

inasemekana MV seagul ikitokea Dar kuelekea zanzibar imezama. kila tupato habari tutazidi kuhabarishana

Update:
Ilikua na abiria 200 na juhudi za uokoaji zinaendelea na tayari baadhi ya watu wameokolewa wakiwa hai na wengine bado wanaelea wakiwa na maboya. Taarifa za vifo bado hazijathibitishwa japo ukweli ni kwamba vifo vipo. Meli hiyo imewahi kuripotiwa kuwa mbovu mara kadhaa.
View attachment 59156


Hivi huyu mzee ile kafara ya mwanzo aliyotoa haikutosha mpaka watoe tena kafara mara ya pili jamani??????????
Yani CCM imeona hili la kutoa roho za watu kwa njia ya kafara ndo suluhisho siyo. Toeni kafara rukeni juu ila chini mtatua tuu.

Mwenyezi mungu awajaze nguvu wote waliopatwa na mkasa huu. Uzembe wa serikali ya ccm ulaumiwe
 
Hivi huyu mzee ile kafara ya mwanzo aliyotoa haikutosha mpaka watoe tena kafara mara ya pili jamani??????????
Yani CCM imeona hili la kutoa roho za watu kwa njia ya kafara ndo suluhisho siyo. Toeni kafara rukeni juu ila chini mtatua tuu.

Mwenyezi mungu awajaze nguvu wote waliopatwa na mkasa huu. Uzembe wa serikali ya ccm ulaumiwe



Serikali isiyoweza kusomesha watu wake (failures kibao), isiyoweza kulinda watu wake hata dhidi ya ajali za Kizembe (ajali za magari na meli), isiyoweza kutibu watu wake(migomo ya Madakaktari) .Isiyoweza kulisha watu wake (kushuka kwa Tsh), Inaweza nini?
 
Serikali isiyoweza kusomesha watu wake (failures kibao), isiyoweza kulinda watu wake hata dhidi ya ajali za Kizembe (ajali za magari na meli), isiyoweza kutibu watu wake(migomo ya Madakaktari) .Isiyoweza kulisha watu wake (kushuka kwa Tsh), Inaweza nini?

Kuakikisha hoja za CDM hazipiti na hawapati nafasi zozote za EA
 
Mipango ya Mwenyezi Mungu bwana,haiepukiki..Tuzidi kusali tu.

Give me a break!!!

upi. Bado haujagundua tu u ni uzembe? Hata kama ni meli ya watui binafsi. Kwa kuwa ilipewa dhamana ya kubeba abiria, na anayetoa dhamana ni serkali, kwa asilimia 100 serikali inahusika.
 
Meli iliosababisha ajali iko mahakamani naomba msiizungumzie...
 
Zomba sio kwamba hiyo meli ilikuwa na shehena kubwa ya pombe na allah hapendi mambo ya kinywaji?

We jogi muongo sana mola gani apendi vinywaji? kuna mistari kwenye bible 'wapeni mvinyo wanywe ili wapoteze mawazo ya umaskini wao' na mwingine unasema hivi 'mnapokunywa msinywe maji pekee kunyweni na na mvinyo kidogo ili mjenge afya zenu'. Kwa hiyo kwa maneno yako unataka kukataa maandiko matakatifu ya yesu
 
SUMATRA isilaumiwe katika hili. Zanzibar ina mamlaka yao ambayo inahusika na usafiri wa majini na pia usajiri wa meli. Ilifanya hivyo ili kuwa na mamlaka binafsi kwa Zanzibar na kuepuka kuingiliwa katika masuala ambayo wao wanaona si ya Muungano. Kwa nini basi hatari inapojitokeza suala linabadilishwa na kuwa la Muungano? Mchumia janga hula na wa kwao!

Aisee! Mkuu hapo sawa kabisa,thanks for the elaboration.
 
Uliyopata ajali sio Meli ni Boti usichanganye mambo.

acha kumpotosha mwenzio! Ni sawa na kubisha kwamba imepata ajali Coster na sio Basi! Meli na Hiyo unayoita boti zote ni Marine Passengers' Vehicle. So umemwelewa ila unataka kujenga ubishi tu.
 
acha kumpotosha mwenzio! Ni sawa na kubisha kwamba imepata ajali Coster na sio Basi! Meli na Hiyo unayoita boti zote ni Marine Passengers' Vehicle. So umemwelewa ila unataka kujenga ubishi tu.

Naona unaleta mazoea narudia tena iliyopata ajali ni Boti (Ferry) sio Meli.
 
Hivi huu msiba wa Zanzibar peke ya au mpaka Tanzania bara, Zanzibar wametangaza siku 3 za maombelezo Tanzania bara wapo kimya au ndio nchi mbili kila moja na mamlaka yake.
 
acha kumpotosha mwenzio! Ni sawa na kubisha kwamba imepata ajali Coster na sio Basi! Meli na Hiyo unayoita boti zote ni Marine Passengers' Vehicle. So umemwelewa ila unataka kujenga ubishi tu.
achana nae huyo ana mtindio wa ccm....
Uliyopata ajali sio Meli ni Boti usichanganye mambo.
wewe garasa una matatizo sana......
 
Hivi huu msiba wa Zanzibar peke ya au mpaka Tanzania bara, Zanzibar wametangaza siku 3 za maombelezo Tanzania bara wapo kimya au ndio nchi mbili kila moja na mamlaka yake.
Hili swali ni la msingi kwa Waziri wa mambo ya Muungano. But siku tatu za maombolezo kwa Zanzibar si lazima zikawa sawa na zile za muungano. Hapa kuna Muungano na kuna Nchi.

But kama ni fery (meli) ilotoka Bara kwenda Znz watakuwepo pia wabara ambao si wazanzibar. Tuache ubaguzi
 
Back
Top Bottom