Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Nazipa pole media za Tanzania hasa zile zisizopokea ruzuku ya serikali zinaweza kufa kibudu.
Sababu hivi nani atanunua magazeti ya kusifu na kuabudu ayasome sasa hivi.
Kama mlipigwa pini mitano iliyopita na mkaona sawa mkidhani adui yenu ni Lissu basi andikeni mmeumia maana ukosoaji kwasasa hautavumiliwa.
Pili kipindi Cha bunge kilileta mvuto sana kwahiyo vigazeti vyenu viliuzauza kipindi cha bunge kwasasa andikeni mmeumia maana ile kamati kuu ya CCM pale bungeni yenyewe ni ndioooooooo. Wakikosoa kwa makelele na hoja kuntu Kama za kina Lissu basi watakuwa wanaigiza.
Nazipa pole media za bongo hasa magazeti kwa JamiiForums sina shaka itaendelea kung'aa kwasababu ya nature yake ambayo ni user-generated content.
Media zilizomsifia Magu kifo chenu kipo km 2 toka hapa tulipo.
Sababu hivi nani atanunua magazeti ya kusifu na kuabudu ayasome sasa hivi.
Kama mlipigwa pini mitano iliyopita na mkaona sawa mkidhani adui yenu ni Lissu basi andikeni mmeumia maana ukosoaji kwasasa hautavumiliwa.
Pili kipindi Cha bunge kilileta mvuto sana kwahiyo vigazeti vyenu viliuzauza kipindi cha bunge kwasasa andikeni mmeumia maana ile kamati kuu ya CCM pale bungeni yenyewe ni ndioooooooo. Wakikosoa kwa makelele na hoja kuntu Kama za kina Lissu basi watakuwa wanaigiza.
Nazipa pole media za bongo hasa magazeti kwa JamiiForums sina shaka itaendelea kung'aa kwasababu ya nature yake ambayo ni user-generated content.
Media zilizomsifia Magu kifo chenu kipo km 2 toka hapa tulipo.