Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,431
- 2,436
Unadhani Ni watanzania wangapi wanauhitaji wa haya uliyoyaandika.ungeniambia magazeti ya michezo kusurvive ningekuelewa.
Wenye uelewa mpana zaidi watakujibu.Watanzania wengi sana wanahitaji magazeti mfano Kampuni zinazotafuta na kutangaza tenda watu wanaopotelewa na nyaraka muhimu kama hati zanyumba paspoti na vyeti wanatangaza magazetini wanafunzi waliomaliza masomo wanaotafuta ajira huduma za mahakama matangazo ya sammons ya kuitwa mahakamani nk taarifa muhimu kutoka serikali kila chombo cha habari kina umuhimu kama sio kwako ni kwa watu wengine.
Mataga wanalinunua na maofisi ya ccm.Wakaulize gazeti la uhuru lina wateja kiasi gani?Msimu huu wao na uhuru hawana tofauti!
Mimi magazeti hapana. Nanunua tu bando. Tv Online tu. Nikiona tu siasa za kijani nazima tv.Upo sahihi, wamejimaliza!
KTN ya Kenya iko vizuriZishakufa media za Tanzania mbona, tumehamia mitandaoni na zaidi Twitter. Full update every second.
Hizo zife kabisa kwani zimekosa msaada,kwa taifa letu Hadi wakati huu.Nazipa pole media za Tanzania hasa zile zisizopokea ruzuku ya serikali zinaweza kufa kibudu.
Sababu hivi nani atanunua magazeti ya kusifu na kuabudu ayasome sasa hivi.
Kama mlipigwa pini mitano iliyopita na mkaona sawa mkidhani adui yenu ni Lissu basi andikeni mmeumia maana ukosoaji kwasasa hautavumiliwa.
Pili kipindi Cha bunge kilileta mvuto sana kwahiyo vigazeti vyenu viliuzauza kipindi cha bunge kwasasa andikeni mmeumia maana ile kamati kuu ya CCM pale bungeni yenyewe ni ndioooooooo. Wakikosoa kwa makelele na hoja kuntu Kama za kina Lissu basi watakuwa wanaigiza.
Nazipa pole media za bongo hasa magazeti kwa JamiiForums sina shaka itaendelea kung'aa kwasababu ya nature yake ambayo ni user-generated content.
Media zilizomsifia Magu kifo chenu kipo km 2 toka hapa tulipo.
Mkuu mbona huchangii mada? Au wewe unapendelea vile vijarida vya kina Mustafa Waziri na Emmanuel Shaluwa?Kweli
Ya Cyprian Musiba inazidi kushamiri na ana mpango wa kufungua TV station.
Hilo linaendeshwa kwa Kodi za Serikali haijalishi watauza au laWakaulize gazeti la uhuru lina wateja kiasi gani?Msimu huu wao na uhuru hawana tofauti!
Binafsi nalipia king'amuzi kwaajili ya mtoto kuangalia katuni tu...hakuna habari yakuangalia kwa mtu mwenye akili timamuTV zote ukifungua unakutana na maombi ya taifa ya kusifu na kuabudu. Chanel ten (CCM media) wamejiongeza na Chanel ten plus miziki mitupu. Na kile kipindi Cha old screw ambavyo vinaangaliwa.
Yes mpaka sasa cement mfuko elf 35Mvuto wanini tena jamani? Muhimu ni MAENDELEO na Rais Magufuli ni Kiongozi mpenda MAENDELEO kwahiyo Watanzania hatuna wasi wasi na hilo
Watu kwa lawama hauchelewi kusema mpaka sasa hivi ndio maana mke wako hajaamka.. nafikiri hili la cement serikali imelielezea vizuri.Yes mpaka sasa cement mfuko elf 35
Tuseme ukweli nani huko atanunua gazeti asome habari za Jiwe? Hata Mataga sidhani kama wanaweza nunua hizo gazetiNazipa pole media za Tanzania hasa zile zisizopokea ruzuku ya serikali zinaweza kufa kibudu.
Sababu hivi nani atanunua magazeti ya kusifu na kuabudu ayasome sasa hivi.
Kama mlipigwa pini mitano iliyopita na mkaona sawa mkidhani adui yenu ni Lissu basi andikeni mmeumia maana ukosoaji kwasasa hautavumiliwa.
Pili kipindi Cha bunge kilileta mvuto sana kwahiyo vigazeti vyenu viliuzauza kipindi cha bunge kwasasa andikeni mmeumia maana ile kamati kuu ya CCM pale bungeni yenyewe ni ndioooooooo. Wakikosoa kwa makelele na hoja kuntu Kama za kina Lissu basi watakuwa wanaigiza.
Nazipa pole media za bongo hasa magazeti kwa JamiiForums sina shaka itaendelea kung'aa kwasababu ya nature yake ambayo ni user-generated content.
Media zilizomsifia Magu kifo chenu kipo km 2 toka hapa tulipo.
Kufa haimaanishi kuwa watu wote wataacha kuyasoma/kununua mara moja, mtabaki wachache sana msiyoleta tija/faida yoyote kwa media husika hivyo kupelekea media kufunga/kufa. Hizo habari unazozitafuta/kuzisoma zinatafutwa na watu wachache sana kama wafuasi wa yule mgombea urais wa kike (Queen)Mimi nitanunua tu kwani kuna vitu muhimu kama matangazo ya tenders matangazo ya kupotelewa vitu, hati za watu kuitwa kwenye mashauri nafasi za kazi matoleo maalumu taarifa za kibenki kila robo mwaka nk bila kusahau kusoma nyota