Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,731
- 13,100
Rudia kusoma tena, sidhani kama umeelewa mada, Mataga bhanaKile unachokiwaza wewe hakiwazwi na wengine mi naona ndo yatauzika Sana Tena Sana kwani wasomaji walikuwa Ni Upinzani?
Rudia kusoma tena, sidhani kama umeelewa mada, Mataga bhanaKile unachokiwaza wewe hakiwazwi na wengine mi naona ndo yatauzika Sana Tena Sana kwani wasomaji walikuwa Ni Upinzani?
Kwa sasa zimeshakufa binafsi sikumbuki mara ya mwisho nilinunua gazeti lini,kwa sasa labda tutayanunua kufungia maandazi na kuwapa watoto kujaladia madaftari,hata tv channels wengi hatuangalii kabisa wala kuzisikiliza huwa naangalia channels za kenya na nje pamoja na za michezo,cartoon na wild animals,siwezi kupoteza muda wangu kuangalia channels za ndani...
. Usoma?Rudia kusoma tena, sidhani kama umeelewa mada, Mataga bhana
Masanja anafanya upuuzi usio na tija kwa taifa think big you people aisee Tanzania ni nchi ya wajinga Sana.Masanja anasherehekea ongezeko kubwa la followers kwenye Instagram yake kwa kipindi cha miezi mitatu relate these to your post
Jipe pole weweNazipa pole media za Tanzania hasa zile zisizopokea ruzuku ya serikali zinaweza kufa kibudu.
Sababu hivi nani atanunua magazeti ya kusifu na kuabudu ayasome sasa hivi.
Kama mlipigwa pini mitano iliyopita na mkaona sawa mkidhani adui yenu ni Lissu basi andikeni mmeumia maana ukosoaji kwasasa hautavumiliwa.
Pili kipindi Cha bunge kilileta mvuto sana kwahiyo vigazeti vyenu viliuzauza kipindi cha bunge kwasasa andikeni mmeumia maana ile kamati kuu ya CCM pale bungeni yenyewe ni ndioooooooo. Wakikosoa kwa makelele na hoja kuntu Kama za kina Lissu basi watakuwa wanaigiza.
Nazipa pole media za bongo hasa magazeti kwa JamiiForums sina shaka itaendelea kung'aa kwasababu ya nature yake ambayo ni user-generated content.
Media zilizomsifia Magu kifo chenu kipo km 2 toka hapa tulipo.
Kielelezo Cha ujinga hapa tz utakipata kwa wafuasi wa chadema na wafuasi wa lisu.Kielelezo Cha ujinga
Wanaojaribu kupunguza nguvu za watesi wa taifa mnawaona wabaya wakati hawana hata mbwa wa polisi subirini dola ikose mtu wa kuwakemea mtamtafuta mbowe hamtamuona mtatamani kupindua serikali. Waliofikiria kuwe na mfumo wa multi partism sio wajinga ila kwakuwa mnajenga mfumo utakaoumiza watoto wetu sote wenu na wetu haina shida acha maisha yaendelee.Kielelezo Cha ujinga hapa tz utakipata kwa wafuasi wa chadema na wafuasi wa lisu.
Yote haya unayanena kwasababu kura hazikutosha upande wa chadema, laiti Kama zingetosha Wala usingesemaWanaojaribu kupunguza nguvu za watesi wa taifa mnawaona wabaya wakati hawana hata mbwa wa polisi subirini dola ikose mtu wa kuwakemea mtamtafuta mbowe hamtamuona mtatamani kupindua serikali. Waliofikiria kuwe na mfumo wa multi partism sio wajinga ila kwakuwa mnajenga mfumo utakaoumiza watoto wetu sote wenu na wetu haina shida acha maisha yaendelee.
Ni kweli nisingesema kwasababu chadema wangeshinda kwa haki bila kuwa na ...Yote haya unayanena kwasababu kura hazikutosha upande wa chadema, laiti Kama zingetosha Wala usingesema
Hayo unayo yasema sio habarinya kila sikuWatanzania wengi sana wanahitaji magazeti mfano Kampuni zinazotafuta na kutangaza tenda watu wanaopotelewa na nyaraka muhimu kama hati zanyumba paspoti na vyeti wanatangaza magazetini wanafunzi waliomaliza masomo wanaotafuta ajira huduma za mahakama matangazo ya sammons ya kuitwa mahakamani nk taarifa muhimu kutoka serikali kila chombo cha habari kina umuhimu kama sio kwako ni kwa watu wengine.
Watafungua Youtube ChannelsSasa hapo unazungumzia media house, sijui kwa hawa media workers 'waandishi' maana press zina_freez na kualikwa hakupo vile waaandishi wengi wanavyojichukua na hawapendi kujiongeza na field nyingine, dadadeki!.