Uchaguzi 2020 Spana za Lissu kwa siku 60 Vs miaka mitano ya Siasa kwa CCM

tongelao

JF-Expert Member
Nov 5, 2018
777
2,131
Wajumbe kwa mambo yanavyoonekana hivi sasa na mwenendo wa CCM kujibu hoja za Lissu, nathubutu kusema kama Tume ya Uchaguzi ikitenda haki basi Lissu anaingia Ikulu asubuhi saa nne na pia kama Tume isipotenda haki kwa maneno ya Lissu ambaye amenusurika kufa kwa risasi basi naamini Nchi hii itabaki njia panda.

Lissu karudi akiwa hana woga na mtu wa namna hiyo hawezi kuogopa chochote na atafanya chochote kuthibitisha maneno yake japo kakoswa kufa kwa risasi 16.

Na pia najaribu kuangalia ukurupukaji wa Lumumba na mataga hasa mitandaoni kwa spana moja tu ya jana ya Mhe. Lissu na leo Polepole kapanic kuanza kujibu na usisahau hawa ndugu wamefanya siasa miaka mitano.

Je, siku 60 za spana za Lissu itakuwaje kwa kiongozi wa mataga Polepole na watu wake?

Na hapa ndipo kiongozi wa wasiojulikana atakapotuma tena wasiojulikana kupunguza kasi ya spana za bwana Lissu maana hawezi kujibu hoja na anajulikana hajui kujenga hoja zaidi ya vitisho.

Kwa hiyo kwa siku hizi 60 namshauri ajipange na awe na dawa za maumivu kwani spana za bwana Lissu zitaingia kazini kwa siku 60 na awamu hii akituma wasiojulikana sisi kama wananchi hatutakubali.
 
Katika ujinga ambao hawapaswi kufanya kwa sababu wakifanya ujinga huo utawagharimu ... Ni kumwaga damu ya mgombea Yeyote yule wa chama pinzani ambaye anaushawishi mkubwa sana katika siasa..


Hilo linaweza kusababisha nchi ikaingia kwenye machafuko so they need to be very smart
 
Katika ujinga ambao hawapaswi kufanya kwa sababu wakifanya ujinga huo utawagharimu ... Ni kumwaga damu ya mgombea Yeyote yule wa chama pinzani ambaye anaushawishi mkubwa sana katika siasa..


Hilo linaweza kusababisha nchi ikaingia kwenye machafuko so they need to be very smart
Huu mwaka hakuna goal la mkono, likitokea basi tutagawan mbao
 
Katika ujinga ambao hawapaswi kufanya kwa sababu wakifanya ujinga huo utawagharimu ... Ni kumwaga damu ya mgombea Yeyote yule wa chama pinzani ambaye anaushawishi mkubwa sana katika siasa..


Hilo linaweza kusababisha nchi ikaingia kwenye machafuko so they need to be very smart
Mkuu wangu Hearly CCM ni sikio la kufa halisikii dawa hawayaoni hayo unayoyafikiria wewe wao wamelewa madaraka,happy usikute wanpanga namna ya kumdhuru Lissu.
Wameshazoea kinywa damu za watu hawawezi kuacha Wala hawajifunzi yanayotokea nchi nyingine.
 
Mkuu wangu Hearly CCM ni sikio la kufa halisikii dawa hawayaoni hayo unayoyafikiria wewe wao wamelewa madaraka,happy usikute wanpanga namna ya kumdhuru Lissu.
Wameshazoea kinywa damu za watu hawawezi kuacha Wala hawajifunzi yanayotokea nchi nyingine.
Basi kwakuwa kusikia kwao ni kwa kenge ... Wakithubutu kufanya hivyo ndio itakuwa kifo rasmi cha chama chao
 
Wajumbe kwa mambo yanavyoonekana hivi sasa na mwenendo wa CCM kujibu hoja za Lissu, nathubutu kusema kama Tume ya Uchaguzi ikitenda haki basi Lissu anaingia Ikulu asubuhi saa nne na pia kama Tume isipotenda haki kwa maneno ya Lissu ambaye amenusurika kufa kwa risasi basi naamini nchi hii itabaki njia panda.

Lissu karudi akiwa hana woga na mtu wa namna hiyo hawezi kuogopa chochote na atafanya chochote kuthibitisha maneno yake japo kakoswa kufa kwa risasi 16.

Na pia najaribu kuangalia ukurupukaji wa Lumumba na mataga hasa mitandaoni kwa spana moja tu ya jana ya mh Lissu na leo Polepole kapanic kuanza kujibu na usisahau hawa ndugu wamefanya siasa miaka mitano.

Je, siku 60 za spana za Lissu itakuwaje kwa kiongozi wa mataga Polepole na watu wake?

Na hapa ndipo kiongozi wa wasiojulikana atakapotuma tena wasiojulikana kupunguza kasi ya spana za bwana Lissu maana hawezi kujibu hoja na anajulikana hajui kujenga hoja zaidi ya vitisho.

Kwa hiyo kwa siku hizi 60 namshauri ajipange na awe na dawa za maumivu kwani spana za bwana Lissu zitaingia kazini kwa siku 60 na awamu hii akituma wasiojulikana sisi kama wananchi hatutakubali.
Naona yale yanayosemwa maendeleo makubwa aliyofanya Magufuli kwa miaka mitano yakiyeyuka mithili ya chuma kuwekwa kwenye tindikali, kwa spana za siku mbili tu!
 
Kuna watu wanaishi kwa mazoea na Safari hii watashangaa. Amini nawaambieni Lissu ndo Raisi Iwan Jamhuri ya Tanzania kuanzia October 2020
Utakuwa muujiza wa Musa kule jangwani. Ninavyotamani huyu jamaa atuachie huru aisee Mungu utuhurumie waja wako.
 
Naona yale yanayosemwa maendeleo makubwa aliyofanya Magufuli kwa miaka mitano yakiyeyuka mithili ya chuma kuwekwa kwenye tindikali, kwa spana za siku mbili tu!
Kwa spana za siku 60 atabakia na madeni kwa watanzania na sio maendeleo tena
 
Back
Top Bottom