Makala josee
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 511
- 447
Masai this time naskia mmekusudia kuchukua kombe kabisa? HahahaUsilete mambo yako ya ufacebook hapa
Masai this time naskia mmekusudia kuchukua kombe kabisa? HahahaUsilete mambo yako ya ufacebook hapa
Acha kumtisha huyu ndugu,anayo nafasi ya kupanbana na half take piaHabari zenu wandugu,
Napenda tu kuwashauri wanafamilia wa ndugu Gambo na wengine walio karibu nae kuwa, kutokana na kilichokea huko Arushwa leo hii, ndugu yetu huyu bila shaka mpaka sasa anaweza kuwa amevurugwa, na hivyo, kuna hatari akafanya yasiyotarajiwa mojawapo likiwa ni uwezekano kulala na viatu.
Pia, mjitahidi kumpigisha strory tofauti tofauti na yaliyotokea ikiwa ni pamoja na kwenda nae maeneo ya starehe angalau aweze kupunguza mawazo.
Najua yuko katika wakati mgumu hivyo msipuuze ushauri huu.
Ni ushauri kwani nia njema tu jamani.
Kwann ww usimwambie???Mwambie lema arejee kwenye kazi yake ya ulanguzi wa milaa
Hivi yule mbunge wa shinyanga aliyekamatwa na bunduki na nyara za serikali kesi yake iliishia wapi? vilevile ndiomaana wananchi wanataka wabadiri serikali hawataki kuona wezi wanazurura mtaani, kama Lema ni mwizi basi wazembe ni serikali.Mkuu ni vyema ukamshauri Lema ya kuwa mwezi nov 2020 baada ya Gambo kuapishwa, asirudie kazi yake ya wizi wa magari, atachinjwa mchana kweupeee. Serikali ya sasa haina huruma na majambazi na wezi. Ajitahidi kubakisha pesa ili aanzishe biashara ya mitumba
Andika kiswahili sanifuMwambie lema arejee kwenye kazi yake ya ulanguzi wa milaa