Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,356
- 1,161
Kwa kawe nitashangaa watu wakimchagua Viti maaluum Gwaji.Huyu anatafutiwa nafasi ya Viti maalum ya the late Mama kisulisuli.
Vunjo?1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini
2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini
3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe
4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini
Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .
Nategemea wote wafanye kampeni za kistaarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi.
Halima Mdee na Sugu wote wanarudi
Mdee sababu ya kosa la kiufundi la ccm kuweka mgombea wa mfukoni wakati Sugu atarudi sababu mgombea wa ccm analazimisha kuchaguliwa
Mkuu ww ni mkazi wa arushaGambo hata aje na mizumu ya bibi zake hawezi kumshinda Lema kwenye sanduku la kura.
Mnataka mniteke?Mkuu ww ni mkazi wa arusha
Mkuu mbona swali langu liko wazi... Just a yes or a noMnataka mniteke?
Mkuu mbona swali langu liko wazi... Just a yes or a no
Sawa mkuu isiwe kesi....Sina sababu ya kukujibu.
Tunamtaka Lissu.Lissu ni mtanzania mwenzetu na tunataka tumpigie kura.
Mie na familia yangu kura ni kwa Lissu.Watumishi wote kura ni kwa lissu
Karata Joker ni ya CCM.
Kazi ya JPM ilishauzika na upinzani walishaonyesha rangi halisi, ushindi hapo ni CCM.
Labda kina Heche ndiyo watatoa upinzani, lakini Arusha ambako nakaa sasa hivi Lema kwa heri. Hii kauli mtaikumbuka.
Pia Mbeya si mchezoNaona mpambano madhubuti Arusha na Tarime vijijini kwa maoni yangu
We ngoja tu uone. Yaani kuna mtu atapigwa kata funua nyie ngojeni tu itakapofika saa nane ivi mtajionea wenyewe. Hizo mbwembwe za MATAGA zitaishia sakafuni subirini tu mtaonaHao wa CCM wote watapigwa mapema sana
Nani ana mpango wa kufanya vurugu ? Mbona mnajishtukia mapema ? Ukininyang'anya kikombe changu cha uji unategemea nini ?Kumbe mko na mipango ya kufanya vurugu enh...mtafurahi aisee.
Acha ramli chonganishi masaiHalima Mdee na Sugu wote wanarudi
Mdee sababu ya kosa la kiufundi la ccm kuweka mgombea wa mfukoni wakati Sugu atarudi sababu mgombea wa ccm analazimisha kuchaguliwa
Usilete mambo yako ya ufacebook hapaAcha ramli chonganishi masai
Umesahau nyingine ya Kigoma Mjini ya Zitto na yule wa CCM! Nadhani nayo kali au siyo?1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini
2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini
3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe
4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini
Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .
Nategemea wote wafanye kampeni za kistaarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi.