Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

Kwa kawe nitashangaa watu wakimchagua Viti maaluum Gwaji.Huyu anatafutiwa nafasi ya Viti maalum ya the late Mama kisulisuli.
 
1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistaarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi.
Vunjo?
 
Sugu akirudi naanzisha chama
Mdee mmh kuna tetesi wamemchoka
Lema Vs Gambo hiyo mechi ni balaa. Moja tayari amelambishwa joker

Heche vs Waitara. Afe kipa afe beki. Aisee sijui Waitara .
 
1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistaarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi.
Umesahau nyingine ya Kigoma Mjini ya Zitto na yule wa CCM! Nadhani nayo kali au siyo?
 
Back
Top Bottom