Una kumbukumbu yoyote ya mbunge aliyekuwa wa kwanza kwa kura nyingi zaidi kuliko wengine mwaka 2015?Sina uhakika kama Sugu na Halima watarudi
Watakosa miaka mitano tu ikiisha watarudiHalima atarudi kupitia viti maalum ambavyo tayari alishagombea na kupitishwa na chama chake. Alishajua kurudi kupitia ubunge wa majimbo kwake haitawezekana. Sugu, Lema, Heche na Msigwa ndiyo basi! Inatia huruma.
Kwangu hii ndiyo mech kali kabisa na siku akishindwa mbatia ntampigia simu nimwulize unafiki wake umemsaidia nini?Kimei vs Mbatia
ngoja nibet.1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini
2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini
3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe
4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini
Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .
Nategemea wote wafanye kampeni za kistaarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi.
MonicaMsigwa aligombani na nani??
Miaka mitano kwenye siasa ni mingi sana. Watakuwa wameshasaulika kabisa.Watakosa miaka mitano tu ikiisha watarudi
Huu unafaa kuwa mfano wa kuigwa kwani kuna maisha nje ya SiasaGambo & Lema wakutana leo Arusha baada ya Kuwasilisha fomu za UteuziView attachment 1547752
Ahahaha,dahGambo & Lema wakutana leo Arusha baada ya Kuwasilisha fomu za UteuziView attachment 1547752
Gambo & Lema wakutana leo Arusha baada ya Kuwasilisha fomu za UteuziView attachment 1547752
Ni jambo jema!Gambo & Lema wakutana leo Arusha baada ya Kuwasilisha fomu za UteuziView attachment 1547752
Halima Mdee na Sugu wote wanarudiSina uhakika kama Sugu na Halima watarudi