Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

Ukiondoa mizengwe ya refa, washika vibendera na makamushina wa mchezo, hata kabla ya mapumziko washindi mbona tayari watakuwa wamepatikana?
 
Halima atarudi kupitia viti maalum ambavyo tayari alishagombea na kupitishwa na chama chake. Alishajua kurudi kupitia ubunge wa majimbo kwake haitawezekana. Sugu, Lema, Heche na Msigwa ndiyo basi! Inatia huruma.
Watakosa miaka mitano tu ikiisha watarudi
 
1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistaarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi.
ngoja nibet.

1. JOHN Heche win.

2. Tulia Akson win.

3. HAlima Mdee win.

4. Mrisho Gambo win.

...............................................


TUNDU LISU 11% vs MAGUFULI 89%

Sent from my head.
 
Nazipenda sana siasa za aina hii. Siyo kukamata mgombea siku ya kurejesha fomu eti anataka kutoa rushwa atangazwe mshindi huku kura hazijapigwa.
 
Tunamtaka Lissu.Lissu ni mtanzania mwenzetu na tunataka tumpigie kura.


Mie na familia yangu kura ni kwa Lissu.Watumishi wote kura ni kwa lissu
 
Kwa hali iliyopo na mambo yanayofanywa na wenye madaraka ni lazima ccm watakatishe majimbo yote.
 
Back
Top Bottom