johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,008
Kwa mfano Mzee Mgaya akitaka kugombea ubunge Iringa mjini anaambiwa hapa Mbunge wa Wananchi ni mchungaji Msigwa
Ukienda Mbeya Bujibuji naye hana chake Mbunge wa Wananchi ni Sugu
Hali ni hiyohiyo Kawe kwa Mdee, Tarime kwa Heche, Arusha kwa Lema, Ikungi kwa Lisu nk....nk
Hii si Sawa mnawabania Vijana Chama kina watu wengi wenye uwezo
Mlale unono!
Ukienda Mbeya Bujibuji naye hana chake Mbunge wa Wananchi ni Sugu
Hali ni hiyohiyo Kawe kwa Mdee, Tarime kwa Heche, Arusha kwa Lema, Ikungi kwa Lisu nk....nk
Hii si Sawa mnawabania Vijana Chama kina watu wengi wenye uwezo
Mlale unono!