cdm ni chama cha wakiristoKwani hujui CUF ni chama cha kiislamu? maana wote waliovaa hijjabu ni CUF.
cdm ni chama cha wakiristoKwani hujui CUF ni chama cha kiislamu? maana wote waliovaa hijjabu ni CUF.
ukitaja oic, mahakama ya kadhi wanazomeanakubaliana na wewe inawezekana; lakini jambo haliwi kweli kwa kuwa fulani tu kasema ila kwa mienendo na matendo ya wahusika tena kwa ushahidi ulio dhahiri. Hebu tupe kaushahidi kokote kwamba chadema ni cha wakristo angalau kwa tabia na mienendo ya wafuasi wao.
<br />ivi zile hotuba za JK... za mwisho wa mwezi kazipotezea??? tunamuhitaji yeye.. na sio watoto hawa wakina NAP
Nilikuwa makini nifatilia mdahalo kati ya Jusa (CUF), Nape (CCM) na Marando (CDM). Jamaa walijitahidi kujibu maswali ila kama kawaida wote mwanzoni walielekeza mashambulizi kwa CDM jambo lililotuonesha wazi kuwa CDM ni chama pinzani na CCM na wapinzani wengine.
Nape mbali na majibu ya ulaghai na udanganyifu mimi nilipenda alipoulizwa kuwa kwanini viongozi wa CCM wanarithishana uongozi na madaraka kwa watoto wao, kuwa mtoto wa Makamba, mtoto wa Nnauye, Mwinyi, Kikwete, nk.
Hivi ndivyo Nape alivyojibu. " Ni vyema tukamtuhumu mtu kwa utendaji wake. NAMKUMBUKA BABA YANGU MAKAMBA ALIWAHI KUSEMA KUWA PANYA WA MSIKITINI ATAKULA QURAN NA HAITASHANGAZA MTU. ILA IKIKUTWA YUKO MSIKITINI ALAFU ANAKULA BIBLIA BASI WATU WATAPIGWA BUTWAA"
Nilipenda sentensi hiyo iliyokolezwa kwa rangi nyekundu. Kwakifupi alimaanisha kuwa mtu aliyenje ya CCM atakiwi kuingia na huyo ni kama biblia kupatika msikitini
Hata mimi nilivoangalia niliona Jussa kawabwaga wenzake tena kwa asilimia kubwa,sasa nashangaa unakuja na hoja kama hiyo au tuseme ndo ule msemo si chongo ni kengeza,na ndio maana mara nyengine nakua sipendi kupita hata njia hapa siku hizi maana watu kama nyinyi mnatuharibia ile JF yenyewe hasa,ushabiki mbele halafu ndo ukweli... lol! kazi kweli kweli.
<br />Umeshindwa kuandika<b> Ball position?</b>
Kwa maoni yangu -- CDM ni 75%, CCM 20% na CUF 5%. Marando alikuwa top of the world!
CDM ilifanya vizuri jana, Nape na Jussa waliungana kupambana na CDM.
Siku ingine Nape, Msekwa , Mwigilu na Ndugai waletwe wapambane na mjumbe mmoja wa CDM, labda wanaweza kumzidi.