nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Kesho tarehe 27/08/2011, Ramadhan 27, Star Tv itarusha moja kwa moja kutoka MovenPick Hotel mdahalo kuhusu " ITIKADI ZA VYAMA VYA SIASA NA TANZANIA TUNAYOITAKA"
Mdahalo huo utahusisha wazungumzaji wakuu wafuatao
1.Bwana Mabere Marando, mwanasheria Kitaaluma na mwanachama wa CHADEMA.
2.Nape Nnauye wa ccm
3. Jussa Ladwa
wote mnaombwa kutune Tv zane ili kupata fursa ya kujifunza na kupanua wigo wa Mjadala juu ya ujenzi wa Jamii ya Kisasa hapa Tanzania yenye kuogopa na kukataa Ubakaji na Ulawiti wa raslimali zetu kwa Jina la siasa.
Mdahalo huo utahusisha wazungumzaji wakuu wafuatao
1.Bwana Mabere Marando, mwanasheria Kitaaluma na mwanachama wa CHADEMA.
2.Nape Nnauye wa ccm
3. Jussa Ladwa
wote mnaombwa kutune Tv zane ili kupata fursa ya kujifunza na kupanua wigo wa Mjadala juu ya ujenzi wa Jamii ya Kisasa hapa Tanzania yenye kuogopa na kukataa Ubakaji na Ulawiti wa raslimali zetu kwa Jina la siasa.