Marando namkubali katika harakati lakini leo kapwaya banaaa....
Mbona CDM nacho ni chama cha Wakisrito, au ndio mambo ya Nyanihalafu ni chama cha dini kabisa si mliona hata maswali waliyokuwa wanauliza akina dada wa cuf?
Nadhani wewe ndio mjinga zaidi, kama huwa unaziruka post zangu leo imekuaje umeisoma.Acha ujinga.We kweli umeoza.Huwa nikikuta posti zako naziruka kama kinyesi.Duh,huwa unachafua hali ya hewa sana humu wewe.
halafu ni chama cha dini kabisa si mliona hata maswali waliyokuwa wanauliza akina dada wa cuf?
Ndugu kama umekereka, nafikiri Nape anakuwezesha, ni haki yako kuudhika, pole sana. Kwani lazima uchangie kama unaona ni upuuzi waachie wengine.Mada zingine hazipaswi kuingia humu,mfano mada ya kimajungumajungu kama hii inatafuta nini humu? Yaani kweli kwa akili zako tuanze kula unit kwa kujadili mdomo wa NAPE kweli? hebu usiwe mvivu wa kufikiri kama huna kitu cha kuweka tukijadili acha, sio kuleta mambo ya kipuuzi great thinkers tujadilli, au basi ungepeleka mada hii huko kwenye vituko sio hapa ambapo tunahitaji mijadala yenye afya yenye kuleta mstakabali mzuri wa taifa letu, kwakweli hata mimi umenikera sana, ni bora uwe msomaji tu sio kuanzisha topic za kitoto kama hii.
Great Thinker @ work. huu ni uchambuzi mahiri wa ule mdahalo wa jana, kudos!Ulikua mdahalo mzuri kiasi. Napei aliwalenga zaidi watazamaji wengi ambao uelewa wao wa mambo ya siasa ni mdogo. Na yawezekana wale wapenzi sugu wa CCM bado wamemuona shujaa. Jussa alikua popo,siyo ndege wala mnyama. Kwa upande wangu niseme huyu ndiye nlikua nahitaji zaidi kumsikiliza. Chama chake kinapita ktk wakati mgumu sana kisiasa huku bara. Ameshindwa kujua bara wanataka nini. Na hilo ndilo kosa kubwa amelifanya,jinsi ile ile kinavyokosea chama chake. Marandu ameongea zaidi kama mwanasheria kuliko mwanasiasa. Kwa level ya uelewa wa watu wengi nadhani kuna ambao hawakumwelewa. Kwa ujumla wa wote 3, Marandu amenifurahisha zaidi. Kama tungekua na waandishi ama wachunguzi mahari wangechimba sana kwanini amesema wezi wa EPA bado hawajashitakiwa mahakamani.
Mbona CDM nacho ni chama cha Wakisrito, au ndio mambo ya Nyani
Wote c walewale, kuwatenganisha CUF na CCM ni sawa na kuwatenganisha mume na mke wanaoelewana na kupendana sana tu!
Aaah!!!! Hahahaaaa!! JADILINI ALIVYOWAPAKATIA LEO MAGWANDA TEPETEPE MNALOOO!!!! Kumbe ndo MAANA HUWA MNAMJADILI SANA HUMU KUMBE MNAJUA KIBOKO YENU