Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Mbu,
Haya mambo ni magumu sana na tunaweza kushauriana hata kwa miaka 100 tusimalize, kwa sababu kila siku na kila uzoefu unakuja na ufunuo wake!!
Naomba usome kile kitabu nilichoweka hapa jana....(I married you, by Walter Trobisch).....Which simply meant to say kwamba unaweza kuwa unawashauri watu ku-mend relationship zao wakati huo yako inakushinda....Ni fact ngumu sana hii!!
Kwa ufupi, nakushauri utafute mtu bila kujali ana watoto au la...Kubaliana naye mapema kabisa kwamba atakuja kuishi na watoto wa mwanamke mwingine.....Ila hata akama atakubali, bado utahitaji kuwa makini kwa sababu mawazo ya mtu na misimamo ni dynamic...Kwa hiyo kukubali kwake siyo guarantee!! Ndiyo maana namwonea huruma mwanamke ambaye anaweza kuwa mke wa pili wa DC!!
Mama mwenye watoto may be...Ila watoto wako na wake ni vitu viwili tofauti....Kuna kabila wana msomo kuwa "ukoo wa ng'ombe unajengwa kutegemeana ziwa walolonyonga"....yaani wale walionyonya ziwa moja ni ndugu wa damu hata kama wametoka kwa madume 100!
Babu DC!
dahh,....ubarikiwe sana mkuu...
am living in inception!...na ni ukweli usiopingika kwangu kunaungua japo huwa najidai kimbelembele na "fire extingushers" kuokoa nyumba za watu.
...na hilo la umakini ni mtihani ambao nimekuwa naufikiria kwa takriban miaka kumi sasa tangu nilipogawana mbao na
mama wa watoto wangu...
kiukweli kwasababu nisizoweza ziweka sawa akilini, nimekuwa muoga sana kuzaa na mwanamke mwingine kiasi kwamba najiuliza nisipoweza kumuoa mwanamke asiyezaa, basi angalau nimuoe aliye tayari na mwanae/wanawe.
...la sivyo, nitajikubalisha ku end up a lonely figure, katika fainali ya uzeeni nikijaaliwa kuufikia!
mawazo yako yataendelea kubakia kumbukumbu ya kudumu mawazoni mwangu.. nakushukuru sana na
weekend njema mkuu!