snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
Last edited by a moderator:
Wife/Spouses come first for the most issues because the health of marriage is what keeps the family together. If you keep kids above the wife/spouse all the time you are more likely to loose the wife/spouse to someone who puts him/her first. Then everybody gets a raw deal. The kids run close second and their needs are considered in our decisions
duu zamani kulikuwa na michango hapa
watu wanabishana kwa facts yaani hadi raha
Mbu nae alikuwa ananifurahisha comments zake
Zamani hoja za maana zilikuwa nyingi kuliko utani. Siku hizi utani umezidi hoja, unadhani kutakuwa na mjadala hapo? Nahisi kuna watu wengi hawaiingii kwenye hili jukwaa kwa sababu ya kejeli na utani uliopita kiasi.
duu zamani kulikuwa na michango hapa
watu wanabishana kwa facts yaani hadi raha
Mbu nae alikuwa ananifurahisha comments zake
Kinachonifurahisha mzee mwenzangu, ukitajwa tu lazima uibuke..... Tena ukute aliyekutaja ni jinsia pinzani LOL....ahhh, enzi za ujana zile....tushajizeekea sasa,
twawapisha wenye damu moto sasa na comments zao za Dot.Com
Am humbled, Thanks for the Compliments.
Hivi huu mdahalo conclusion ilitolewa?
Tena we ndio kinara wa kuchakachua threads za watu.
Shem muda uliotuma hii post, kakangu alikuwa wapi? Ntakusemelea.