AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,113
Nitafurahi sana kwani huwa naamini Mama DC peke yake ndiye anayenifahamu...Sasa kama watu wote wananifahamu ataendeleaje kujiona nambari wani?? At least nikipata watu wakunimix na wadau wengine itakuwa great ili utukufu ubaki kwa mwenye nao (in this case, my nambari wani)!!
Umenifungua akili na kunifanya in the future nipotezee.... THANK YOU....
Ahsante sana dada yangu,
Pamoja sana....!!
Pamoja saaana DC.... Nitasubiri comments zako hata kwa VM/PM Maana ile discussion inabidi ipoe kabla ya kurise upya!!