Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 5,131
- 8,369
Hawataki kuambiwa ukweli mkuu...subiri povu lao
Hivi mnuka kikwapa unamwambiaje kuwa ananuka kikwapa bila kumjeruhi hisia zake?
Nakuombea pia leo ukutane na mnuka papuchi [emoji90][emoji90][emoji90]
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Ndugu utawajua... naona mnauwakilisha ukoo vizuri siti za mbele.
Oooooh!!!You just did.
Teh[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Kumuoa kwapa na mdomo havina me wala ke, jinsia zote zinatakiwa kujiangalia. Lakini wahurumie watu wa Da'slam, daladala na hili joto ni hatari kwa afya ya sehemu za siri.
You either are one hell of a gentleman or whatever he's got on you must be really filthy...pondering!Same same...
Yaani acha tu, kajikokiii alafu matokeo yake ndio haya jamani khaaaah!!Teh
Ukute hapo dada wa watu alienda saluni inayoaminika uswahilini kwao na kusukwa msuko matata uswahilini mwao dela kaazima.
WeweYaani acha tu, kajikokiii alafu matokeo yake ndio haya jamani khaaaah!!
Abee!Wewe
Degree yangu iko wapi jamani!!Mazee....sasa anaye frequent sehemu za starehe kuanzia Jumatatu hadi Jumapili huyo ni wa kumhurumia kweli? Akifika huko anaagiza ma cocktail [hajui hata ku spell cocktail] na manini nini sijui huko.
Hapana aisee. Wengine ni wachafu kwa asili tu maana nina uhakika deodorants hazina gharama kushinda hayo ma cocktail.