RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,508
- 135,546
Hivi huwa unatimiza hizi ahadi au unawarusha roho tu dada zangu? Maanake naonaga unawaahidi iPhones, perfumes..Totoz....si umeuliza nami nikakujibu.
Au huitaki tena? Nimgaie Heaven Sent?
Hivi huwa unatimiza hizi ahadi au unawarusha roho tu dada zangu? Maanake naonaga unawaahidi iPhones, perfumes..Totoz....si umeuliza nami nikakujibu.
Au huitaki tena? Nimgaie Heaven Sent?
Ukoko mkavu?Unasugulia kikwapa, harufu yooote kwishney.
Hiyo ndio dawa sasa.
Hivi huwa unatimiza hizi ahadi au unawarusha roho tu dada zangu? Maanake naonaga unawaahidi iPhones, perfumes..
Nmeunganisha dot nkapata kitu ..ngoja na mie nivunge mkuuThanks to u...
Hivi huwa unatimiza hizi ahadi au unawarusha roho tu dada zangu? Maanake naonaga unawaahidi iPhones, perfumes..
Ha ha ha unawatega...labda hawajiamini. Kuna mmoja jukwaa fulani nilimuahidi perfume na nilimletea, kajiamini kaja akaichukua kiulaini naamini bado ananukiaNatimiza kweli.
Sema tatizo lao ni waoga.
Wanaogopa kuja kuzichukua.
Yaani hapa nilipo zipo nyingi tu....lakini wote waoga hao.
Kama vipi labda we kaka yao uje uwachukulie kama wanakuamini na/au kama huogopi kumwona Ngabu hahahaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Km hii. Ni story yako huyo dada aliyekuabali kuonana nawe sasa hv anatumia ac ingine kukuview ..sio kwa kichambo hiko hahahaah
Mkavu unasugua au unakwangua!!!Ukoko mkavu?
Ni ahadi hewa hizi.Hivi huwa unatimiza hizi ahadi au unawarusha roho tu dada zangu? Maanake naonaga unawaahidi iPhones, perfumes..
Ni ahadi hewa hizi.
Na mimi niletee basi mkwe[emoji85] [emoji85]Ha ha ha unawatega...labda hawajiamini. Kuna mmoja jukwaa fulani nilimuahidi perfume na nilimletea, kajiamini kaja akaichukua kiulaini naamini bado ananukia
Jamani tusi liko wapi hapo sasa!!Unanitusi wewe.