Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Hahaaa Billy...mr Assist

Hii mbona wala haimhusu mtu yeyote wa humu...

And I put that on my late great father who passed away 5 years and some change ago.

Sijakutana na mtu yeyote wa humu. Hivyo ondoeni hizo fikra, tafadhali.
Oh I see.....
 
Hihihihi vijana wa daslamu wanachambana hihihi wenyewe waita hivyo.
 
Labda aliazima nguo ya mtu mwenye kikwapa. Wadada kwa kiki hasa first appointment
 
Ha ha ha ukisikia yalaa ujue limempata,ungemletea body misty jomoni USABABY,Si unajua vyuma vimekaza hata deodorant ya buku nne hatuna.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom