Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Baadhi ya Miafrika ndivyo ilivyo.

Na ni bora mara elfu mtu akakwambia ukweli hata kama unauma ila umekupata ujirekebishe!

Ukisikia yalaa...maana yake ni kwamba jiwe limekupata, kama halijakupata maana yake hujaumizwa na chochote...kama hujaumizwa huwezi kupayuka.


Wabillah Tawfiq.
 
Mwanamke huna akili na zitazoumia ni sehemu za roma roma........asante kwa povu hili
 
Baadhi ya Miafrika ndivyo ilivyo.

Na ni bora mara elfu mtu akakwambia ukweli hata kama unauma ila umekupata ujirekebishe!

Ukisikia yalaa...maana yake ni kwamba jiwe limekupata, kama halijakupata maana yake hujaumizwa na chochote...kama hujaumizwa huwezi kupayuka.


Wabillah Tawfiq.

Alahu wakibaruuu
 
Kwanini watu wamehisi anayesemwa yupo humu? Tunzie hapo.

Wabillah Tawfiq.
 
Sasa mkuu style ya uandishi wako sio nzuri hata kama mhusika hayupo humu, maadam kuna jinsia -ke inakuwa kama unawazalilisha.

Hata hivyo ingependeza zaidi kama ungemfikishia huu ujumbe mhusika kwa njia hiyo hiyo mliyo date.
 
ha ha ha haa. kuna mtu kakuibia password katumia Account yako?? ama.... Kwa dongo hili siamini kama ni wewe.
Ila kama ni wewe basi Pole. Kwa kumsaidia omba kukutana naye halafu mwambie ukweli ila pasipo kuumiza hisia zake. pole sana. Usafi wakati mwingi ni tatizo...ha ha hah a
 
Si ungelimwaga hili povu ulivokuwa nae mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
ha ha ha haa. kuna mtu kakuibia password katumia Account yako?? ama.... Kwa dongo hili siamini kama ni wewe.
Ila kama ni wewe basi Pole. Kwa kumsaidia omba kukutana naye halafu mwambie ukweli ila pasipo kuumiza hisia zake. pole sana. Usafi wakati mwingi ni tatizo...ha ha hah a

Hivi mnuka kikwapa unamwambiaje kuwa ananuka kikwapa bila kumjeruhi hisia zake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom