Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Nyani Ngabu wana msemo wao wanasema ndege wafananao.........ila tuache utani kwapa ni janga la kitaifa! Si wanaume si wanawake, unaweza kumuna mdada mzuri kapendeza ila harufu ya jasho balaa au unaweza kukutana na brother yuko smart ila kikwapa kinatema balaa! Ukizungumzia perfume,deodorants humu unaambiwa hayo mambo ya kike blah blah kibao!
 
Nyani Ngabu wana msemo wao wanasema ndege wafananao.........ila tuache utani kwapa ni janga la kitaifa! Si wanaume si wanawake, unaweza kumuna mdada mzuri kapendeza ila harufu ya jasho balaa au unaweza kukutana na brother yuko smart ila kikwapa kinatema balaa! Ukizungumzia perfume,deodorants humu unaambiwa hayo mambo ya kike blah blah kibao!

Hiyo harufu huwa inanikera sana mimi.

Sijui hao watu pua zao huwa zina hitilafu...
 
Kama anayeambiwa ni member wa humu, na mleta mada anajua kwamba muhusika ni member, naomba nisamehewe kwa mawazo yangu machafu juu ya uanaume wa mleta mada.

Not personal man.

Hahaaa Billy...mr Assist

Hii mbona wala haimhusu mtu yeyote wa humu...

And I put that on my late great father who passed away 5 years and some change ago.

Sijakutana na mtu yeyote wa humu. Hivyo ondoeni hizo fikra, tafadhali.
 
Hahaaa Billy...mr Assist

Hii mbona wala haimhusu mtu yeyote wa humu...

And I put that on my late great father who passed away 5 years and some change ago.

Sijakutana na mtu yeyote wa humu. Hivyo ondoeni hizo fikra, tafadhali.

Mkuu lakini kwa heshima ya jinsia ya kike, huja iaddress kiuanaume.

Wish ungetumia choice nyingine ya maneno.
 
Mkuu hata kama ni kwa ajili yake au yeyote yule, ninadhani ukisoma ujumbe msitari kwa msitari utaona kwamba it came out of anger.

Imagine umsubiri mtu masaa 2 late, aje ukae naye, usikie harufu ya kwapa, muendelee kupiga story na kila anachoongea unaona ni pumba, upo tu unamsikiliza, tena unajua kazi yake ni kujiuza (most probably mlikuwa mnafanya negotiations).

Baada ya yote hayo unakuja na uzi wa namna hii.

Kuweni na heshima kwa wanawake bana, ninaamini matured man ana jinsi anavyoweza kufikisha ujumbe lakini siyo kwa matusi ya namna hii.

Kaka...nakuheshimu sana licha ya yaliyokufika humu.

Kama huna jema la kuongea nakushauri uondoke tu hapa.

Usilazimishe makaburi yafukuliwe maana una makandokando mengi mno wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom