Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Mchambo kuntuuuu... Itakua ulimuona kwenye picha eeeh
 
Akili zenyewe huna. Karibu kila kitokacho mdomoni kwako ni pumba tupu. Mbaya zaidi ni kwamba akili huna kwelikweli. Yaani huna hata akili za kujijua kuwa huna akili.

Aisee! Hata za kuvukia barabara hana mzee?
 
Umepanga miadi na mtu toka jana.

Mshakubaliana mtakutania wapi.

Siku na muda ufikapo wewe unaheshimu muda na miadi yako na unafika sehemu ya makutano yenu katika muda mliokubaliana.

Mwenzio [demu... najua baadhi hawalipendi hilo neno but oh well...it is what is] anakuja masaa mawili baadaye.

Yaani kachelewa masaa mawili. Kwanza, eti katumia muda mwingi sana saluni. Pili, eti foleni ilikuwa kubwa. Ndo sababu zake za kuchelewa.

Huko ni kuchomeshwa mahindi hadi yanaungua kabisa.

Kama hiyo haitoshi, eti anakuja huku ananuka kikwapa!

Dada gani wa mjini ananuka kikwapa?? Mtu kazi huna...kutwa kucha unashinda unategesha kwenye sehemu za starehe...kiukweli hiyo ndo kazi yako [kujiuza].

Akili zenyewe huna. Karibu kila kitokacho mdomoni kwako ni pumba tupu. Mbaya zaidi ni kwamba akili huna kwelikweli. Yaani huna hata akili za kujijua kuwa huna akili.

Halafu eti bado unajiona mtu mstaarabu sana.

Anza kupaka deodorant kwanza
Nini maana ya WTF
 
Nyani Ngabu wana msemo wao wanasema ndege wafananao.........ila tuache utani kwapa ni janga la kitaifa! Si wanaume si wanawake, unaweza kumuna mdada mzuri kapendeza ila harufu ya jasho balaa au unaweza kukutana na brother yuko smart ila kikwapa kinatema balaa! Ukizungumzia perfume,deodorants humu unaambiwa hayo mambo ya kike blah blah kibao!
Ongeza na mdomo...yaani mimi kheri anuke kikwapa, lakini siyo mdomo! Mnuka mdomo, namdharau sana, kama nilikuwa namweshimu, heshima uisha kabisa.
 
Duuu Jmn jmn suala la muda ni kweli wengi wetu ni wahanga wa hili tatizo, ila sasa kikwapa ni Case nyingine buh all in all inaweza kuwa imechangiwa na hali ya hewa ya sasa hivi, pia ungetafuta njia ya kumwambia hata indirect mkuu angetafakari na akajua kosa Lake liko wapi [emoji30][emoji30][emoji30]
 
ndio yule mlikua mnakula bata kwenye boti?
 
Mchambo kuntuuuu... Itakua ulimuona kwenye picha eeeh

Hahaaa saw her on the Gram [that’s Instagram for all you dingleberries out there] and I was besotted...

Naah just playing. I don’t even know how to get on it let alone have an account and be active.
 
Hahaaa saw her on the Gram [that’s Instagram for all you dingleberries out there] and I was besotted...

Naah just playing. I don’t even know how to get on it let alone have an account and be active.
Acha kelele nalala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom