Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

I just copped that Ferragamo Acqua Essenziale andsome Hugo Boss classics.

Ferragamo%20Acqua%20Essenziale%203pc%20Set.jpg


thing
 
Umepanga miadi na mtu toka jana.

Mshakubaliana mtakutania wapi.

Siku na muda ufikapo wewe unaheshimu muda na miadi yako na unafika sehemu ya makutano yenu katika muda mliokubaliana.

Mwenzio [demu... najua baadhi hawalipendi hilo neno but oh well...it is what is] anakuja masaa mawili baadaye.

Yaani kachelewa masaa mawili. Kwanza, eti katumia muda mwingi sana saluni. Pili, eti foleni ilikuwa kubwa. Ndo sababu zake za kuchelewa.

Huko ni kuchomeshwa mahindi hadi yanaungua kabisa.

Kama hiyo haitoshi, eti anakuja huku ananuka kikwapa!

Dada gani wa mjini ananuka kikwapa?? Mtu kazi huna...kutwa kucha unashinda unategesha kwenye sehemu za starehe...kiukweli hiyo ndo kazi yako [kujiuza].

Akili zenyewe huna. Karibu kila kitokacho mdomoni kwako ni pumba tupu. Mbaya zaidi ni kwamba akili huna kwelikweli. Yaani huna hata akili za kujijua kuwa huna akili.

Halafu eti bado unajiona mtu mstaarabu sana.

Anza kupaka deodorant kwanza
Tatizo unabeba wanawake wa Tandika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom