Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

Nisaidie kirefu cha WTF kama kilivyotumika kwenye thread hii
 
watoto wa siku hizi bwana,eti jamani nami niulize unakabiliana vipi na mchuchu ananuka mdomo??na anapenda kiss kweli kweli yaani mkikutana tu anaparamia lipsi,loooh
Umepanga miadi na mtu toka jana.

Mshakubaliana mtakutania wapi.

Siku na muda ufikapo wewe unaheshimu muda na miadi yako na unafika sehemu ya makutano yenu katika muda mliokubaliana.

Mwenzio [demu... najua baadhi hawalipendi hilo neno but oh well...it is what is] anakuja masaa mawili baadaye.

Yaani kachelewa masaa mawili. Kwanza, eti katumia muda mwingi sana saluni. Pili, eti foleni ilikuwa kubwa. Ndo sababu zake za kuchelewa.

Huko ni kuchomeshwa mahindi hadi yanaungua kabisa.

Kama hiyo haitoshi, eti anakuja huku ananuka kikwapa!

Dada gani wa mjini ananuka kikwapa?? Mtu kazi huna...kutwa kucha unashinda unategesha kwenye sehemu za starehe...kiukweli hiyo ndo kazi yako [kujiuza].

Akili zenyewe huna. Karibu kila kitokacho mdomoni kwako ni pumba tupu. Mbaya zaidi ni kwamba akili huna kwelikweli. Yaani huna hata akili za kujijua kuwa huna akili.

Halafu eti bado unajiona mtu mstaarabu sana.

Anza kupaka deodorant kwanza
 
Nisaidie kirefu cha WTF kama kilivyotumika kwenye thread hii
kama ni hayo tu maana yake ni What if

teh teh nimecheka sana kwa kweli

ulitaka kusema amesema what the f.ck?

noo bhana
 
kama ni hayo tu maana yake ni What if

teh teh nimecheka sana kwa kweli

ulitaka kusema amesema what the f.ck?

noo bhana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom