Naona leo ni zamu yako kupewa bundle na chakubangaKwani kuosha vyombo na kufagia nyumbani kwako mpaka raisi aseme!
Sana sana atakuwa anawahimiza kutoa sadakaAskofu Rashid anawaasa nini waumini wake??
😂😂😂😂😂Sana sana atakuwa anawahimiza kutoa sadaka
Anajikomba komba yule si alikuwa timu lowasa?Lakini huyu Matsai si alishasema Mungu ameiepusha Tanzania na Corona?
Ndo anapata akili saa hizi kumekucha?Mchungaji Matsai wa Kanisa la KKKT kimara amewataka waumini wake kuchukua tahadhari dhidi ya Corona kwa sababu siyo kila jambo ni lazima Rais atoe kauli.
Mchungaji amesema kama unaona kuna tatizo mbele ni lazima uchukue tahadhari kwa sababu akili unazo.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Mchungaji Matsai alimuombea RC Paul Makonda hadi akalia machozi.Anajikomba komba yule si alikuwa timu lowasa?
Kama Bavicha mnavyopewa bundle na Halima James Mdee!Naona leo ni zamu yako kupewa bundle na chakubanga
Wanatapika wanageuka wanakula.Lakini huyu Matsai si alishasema Mungu ameiepusha Tanzania na Corona?
Kwasababu ni binti mwenzako na tabia zenu zinafanaKama Bavicha mnavyopewa bundle na Halima James Mdee!
Hawa waliojianzishia makanisa yao kamwe usiwaamini maana plan yao ni kutafuta fweeezaaa tuWanatapika wanageuka wanakula.
Hawa watumishi wa Bwana wamejishushia hadhi kwa kufuata mkumbo.
Huku wakijua mtaji wao ni poshi za waumini lakini walishindwa kuwapa tahazari.
Kwa wasiyo jielewa kama wewe na Bashite wakoMchungaji Matsai alimuombea RC Paul Makonda hadi akalia machozi.
Huyu ni mtumishi wa kweli!
Hata mwenyekiti wa Chadema taifani anasali KKKT kimara!Kwa wasiyo jielewa kama wewe na Bashite wako
Anacheza na muelekeo wa upepo maana yupo pale kutafuta ridhiki tu na watu kama hao ndiyo wanakuwaga wanatumiwa na kina chakubangaNdo anapata akili saa hizi kumekucha?
Wewe inabidi uwe unafanya argument na wanadada wenzako kina Ester Bulaya ndiyo size zakoHata mwenyekiti wa Chadema taifani anasali KKKT kimara!
Kwa sasa Chadema inafadhiliwa na mabinti wake walioko bungeni!Kwasababu ni binti mwenzako na tabia zenu zinafana
Kwani nawewe upo bungeni maana nawe ni binti piaKwa sasa Chadema inafadhiliwa na mabinti wake walioko bungeni!
Hao akina Halima James Mdee ndio wanalipa mishahara ya Chadema kwa sasa.Wewe inabidi uwe unafanya argument na wanadada wenzako kina Ester Bulaya ndiyo size zako
Sisi ACT wazalendo bhana!Kwani nawewe upo bungeni maana nawe ni binti pia