johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Mchungaji Matsai wa KKKT Kimara amewataka Waumini wa Kanisa hilo kuacha tabia ya kuongea sana na kulalamika lalamika na badala yake wafanye kazi kwa bidii
Matsai amesema kuna mluteli mmoja alikuwa Kiongozi serikalini na alijaribu kuzuia Ujenzi wa Ubungo Plaza kwa madai taratibu hazijafuatwa Bahati mzuri Rais Mkapa aliingilia Kati na kumkemea. Leo hii Ubungo Plaza inachangia pakubwa Kwenye uchumi wa nchi
Kadhalika Matsai amekemea tabia ya kumkosoa Rais na kusema ni maadili ya hovyo kabisa, " hawa Marais wetu wangekuwa wanasoma kila wanachoandikwa mitandaoni wangeweza kufa kabla ya wakati Wao" amesisitiza mchungaji
Katika Performance Management hatuangalii Process bali tunachozingatia ni Matokeo, amemalizia mchungaji Matsai
Nawatakia Dominica njema!
Matsai amesema kuna mluteli mmoja alikuwa Kiongozi serikalini na alijaribu kuzuia Ujenzi wa Ubungo Plaza kwa madai taratibu hazijafuatwa Bahati mzuri Rais Mkapa aliingilia Kati na kumkemea. Leo hii Ubungo Plaza inachangia pakubwa Kwenye uchumi wa nchi
Kadhalika Matsai amekemea tabia ya kumkosoa Rais na kusema ni maadili ya hovyo kabisa, " hawa Marais wetu wangekuwa wanasoma kila wanachoandikwa mitandaoni wangeweza kufa kabla ya wakati Wao" amesisitiza mchungaji
Katika Performance Management hatuangalii Process bali tunachozingatia ni Matokeo, amemalizia mchungaji Matsai
Nawatakia Dominica njema!