Mchungaji Matsai: Tumepoteza waumini wawili kwa Corona ambao Jumapili iliyopita tulisali nao leo hawapo, jamani tuwe serious!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,891
141,824
Mchungaji Matsai wa KKKT kimara amewataka waumini wake kuchukua tahadhari zote za Corona hasa kunawa mikono kila wakati kwani ugonjwa huu upo na unauwa.

Matsai amesema waumini wawili wa Kanisa lake wametangulia mbele za haki wiki hii akiwemo muimbaji wa kwaya kuu

Mchungaji Matsai amesisitiza washirika kushiriki meza ya Bwana kila jumapili kwao hakuna kinga iliyo kuu kuizidi damu ya Yesu, na Masihi mwenyewe ndio mkuu wa sayansi.

Source: Upendo tb
 
Kwa hiyo amefunga kanisa ili azuie vifo zaidi hapo kanisani kwake au baada ya maelezo hayo ametoa suluhisho lipi kwa hapo kanisani kwake
 
Mchungaji Matsai wa KKKT kimara amewataka waumini wake kuchukua tahadhari zote za Corona hasa kunawa mikono kila wakati kwani ugonjwa huu upo na unauwa.

Matsai amesema waumini wawili wa Kanisa lake wametangulia mbele za haki wiki hii akiwemo muimbaji wa kwaya kuu

Mchungaji Matsai amesisitiza washirika kushiriki meza ya Bwana kila jumapili kwao hakuna kinga iliyo kuu kuizidi damu ya Yesu, na Masihi mwenyewe ndio mkuu wa sayansi.

Source: Upendo tb
Pole sana mkuu
 
Mwendazake alipotosha sana watu kuhusu corona hadi wakuu wa dini nao wakaingia mkenge.

Rais Samia kaja, wote sasa wamefanya u-turn.....nchi isiyokuwa na focus...kauli za watu zinapogeuka sheria za nchi ...kupata maendeleo ni ndoto.
 
Mwendazake alipotosha sana watu kuhusu corona hadi wakuu wa dini nao wakaingia mkenge.

Rais Samia kaja, wote sasa wamefanya u-turn.....nchi isiyokuwa na focus...kauli za watu zinapogeuka sheria za nchi ...kupata maendeleo ni ndoto.
Mwendazake alipotosha nini bwashee?!
 
Mchungaji Matsai wa KKKT kimara amewataka waumini wake kuchukua tahadhari zote za Corona hasa kunawa mikono kila wakati kwani ugonjwa huu upo na unauwa.

Matsai amesema waumini wawili wa Kanisa lake wametangulia mbele za haki wiki hii akiwemo muimbaji wa kwaya kuu

Mchungaji Matsai amesisitiza washirika kushiriki meza ya Bwana kila jumapili kwao hakuna kinga iliyo kuu kuizidi damu ya Yesu, na Masihi mwenyewe ndio mkuu wa sayansi.

Source: Upendo tb

Corona ipi tena? Kwani vita vya kiuchumi viliisha au basi nani alishinda?
 
Mchungaji Matsai wa KKKT kimara amewataka waumini wake kuchukua tahadhari zote za Corona hasa kunawa mikono kila wakati kwani ugonjwa huu upo na unauwa.

Matsai amesema waumini wawili wa Kanisa lake wametangulia mbele za haki wiki hii akiwemo muimbaji wa kwaya kuu

Mchungaji Matsai amesisitiza washirika kushiriki meza ya Bwana kila jumapili kwao hakuna kinga iliyo kuu kuizidi damu ya Yesu, na Masihi mwenyewe ndio mkuu wa sayansi.

Source: Upendo tb
Magufuli was a dissaster. Nahisi hata hakufa kwa ugonjwa, wenda system iliona jamaa ataangusha nchi wakaamua kumfyekea mbali.
 
Mwendazake alipotosha sana watu kuhusu corona hadi wakuu wa dini nao wakaingia mkenge.

Rais Samia kaja, wote sasa wamefanya u-turn.....nchi isiyokuwa na focus...kauli za watu zinapogeuka sheria za nchi ...kupata maendeleo ni ndoto.
Habari ya upepo
 
Hayo maombi yake ya kuombea wagonjwa huwa Yana kazi gani?

Kama waumini wake wanakufa kwa Corona
 
Mwendazake alipotosha nini bwashee?!
Bwa shee unajua kila jambo....

Barakoa zina virus wa Corona, shoneni za kwenu achaneni na hizo za nje.

Wanaochoma machanjo chonjo nje ndiyo wanaletaniza ma corona mpya haya..

Hakuna chanjo kuja, watanzania msifikiri mnapendwa saana..hawa jama wanaweza kuwa na nia mbaya na nyie

Corona ni mafua mafua tu...jifukizeni mtakuwa swaafi

Tumeshafaya maombi na Mungu kasema corona Tanzania ni ndoto!! Naomba makanisa yote yafanye sara ya shukrani.

Baada ya muda ohooooo corona aka mafua mafua akafanya yake kwa stelingi.
 
Mchungaji Matsai wa KKKT kimara amewataka waumini wake kuchukua tahadhari zote za Corona hasa kunawa mikono kila wakati kwani ugonjwa huu upo na unauwa.

Matsai amesema waumini wawili wa Kanisa lake wametangulia mbele za haki wiki hii akiwemo muimbaji wa kwaya kuu

Mchungaji Matsai amesisitiza washirika kushiriki meza ya Bwana kila jumapili kwao hakuna kinga iliyo kuu kuizidi damu ya Yesu, na Masihi mwenyewe ndio mkuu wa sayansi.

Source: Upendo tb
Wasilalamike wao ndio wanawafanya waumini wao wawe na viburi vya kushindwa kuvaa barakoa na kutumia vitakatishi na pia kuweka viti umbali kiasi, jana nilandika hapa kuhusu wauumini wa kanisa la `Efata la Mwingira kutovaa barakoa, kuna mwingine kaja kubweka hapa kuwa tuache tu watu wafanye wanavyotaka eti ni fitina tu ya waumini wa Mwingili utadhani wao wanapata utajirisho huku ambao mimi sina. Watu hawavai barakoa na kwenye mabasi au daladala nyomi ni kama kawa.
 
Wasilalamike wao ndio wanawafanya waumini wao wawe na viburi vya kushindwa kuvaa barakoa na kutumia vitakatishi na pia kuweka viti umbali kiasi, jana nilandika hapa kuhusu wauumini wa kanisa la `Efata la Mwingira kutovaa barakoa, kuna mwingine kaja kubweka hapa kuwa tuache tu watu wafanye wanavyotaka eti ni fitina tu ya waumini wa Mwingili utadhani wao wanapata utajirisho huku ambao mimi sina. Watu hawavai barakoa na kwenye mabasi au daladala nyomi ni kama kawa.

Kwa hiyo na huko corona inawachapa bila shaka?
 
Vile Corona inaringa Tanzania kwa sababu watu wengi wanakimbia chanjo😁😁😁
2876891_2226502.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom