johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Mchungaji Matsai wa KKKT kimara amewataka waumini wake kuchukua tahadhari zote za Corona hasa kunawa mikono kila wakati kwani ugonjwa huu upo na unauwa.
Matsai amesema waumini wawili wa Kanisa lake wametangulia mbele za haki wiki hii akiwemo muimbaji wa kwaya kuu
Mchungaji Matsai amesisitiza washirika kushiriki meza ya Bwana kila jumapili kwao hakuna kinga iliyo kuu kuizidi damu ya Yesu, na Masihi mwenyewe ndio mkuu wa sayansi.
Source: Upendo tb
Matsai amesema waumini wawili wa Kanisa lake wametangulia mbele za haki wiki hii akiwemo muimbaji wa kwaya kuu
Mchungaji Matsai amesisitiza washirika kushiriki meza ya Bwana kila jumapili kwao hakuna kinga iliyo kuu kuizidi damu ya Yesu, na Masihi mwenyewe ndio mkuu wa sayansi.
Source: Upendo tb