Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mbona unatapa tapa Sana?Sisi ACT wazalendo bhana!
Ratio = 1:5
Yaani 20/4 = 5
Mbona unatapa tapa Sana?Sisi ACT wazalendo bhana!
Ratio = 1:5
Yaani 20/4 = 5
Weee unamuandalia chakula nani?Hao akina Halima James Mdee ndio wanalipa mishahara ya Chadema kwa sasa.
Mnyika anampa shikamoo Halima James Mdee!
Lakini huyu Matsai si alishasema Mungu ameiepusha Tanzania na Corona?
Kweli kabisa maana mwanzoni kipindi cha kampeni ya ugombea urais aliandaa kiti kabisa madhabahuni na akawaambia waumini wake eti cha lowasa maana ni tayari RaisAnacheza na muelekeo wa upepo maana yupo pale kutafuta ridhiki tu na watu kama hao ndiyo wanakuwaga wanatumiwa na kina chakubanga
Sifa tuu hana lolote kashashika watu kawaweka kiganjani ndio maana wanamsujudu sana.Mchungaji Matsai alimuombea RC Paul Makonda hadi akalia machozi.
Huyu ni mtumishi wa kweli!
Yule mgonjwa alipona Corona saa ile ile!Sifa tuu hana lolote kashashika watu kawaweka kiganjani ndio maana wanamsujudu sana.
Juzi tuu hapa kamwombeaa mgonjwa baada ya maombi mgonjwa ndio akato form ya maradhi yake kumbe inasemekana ni korona mbona kidogo ajinyee kwa woga
Bila Halima James Mdee wote hapo Ufipa mtakufa njaa!Weee unamuandalia chakula nani?
Mastai mwenyewe hamini hadi leo kama haja hukua hapo kirusiYule mgonjwa alipona Corona saa ile ile!
Hawa majamaa sinaga kabisa na imani nao maana wengi wanahusishwa na nguvu za gizaKweli kabisa maana mwanzoni kipindi cha kampeni ya ugombea urais aliandaa kiti kabisa madhabahuni na akawaambia waumini wake eti cha lowasa maana ni tayari Rais
Kwahiyo bado ana mawenge hadi lini?
Je vyombo vya nchi nzima nan anatakiwa kusema?Kwani kuosha vyombo na kufagia nyumbani kwako mpaka raisi aseme!
Hakika!Huyu si alisema almkumbatia mgonjwa akapona?
Siyo kanisa lake ni m KKKT sema ni kama ana haki miliki ya kanisa, haguswi.Hawa waliojianzishia makanisa yao kamwe usiwaamini maana plan yao ni kutafuta fweeezaaa tu
Sasa leo kasima wajikinge nilizania atawaita awakumbatie wapone kwasababu wana mwamini na kumsikia awaambiacho, Duh! watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Hakika!
Ndugu sio kubeza hata mimi ni mkristu lakini kushuhudia hao watumishi wana sema kitu halafu wanakikana tena unafikiri kondoo tutasimama wapi? na mtumishini mtu kama sisi waamini kwahiyo akikosea tutamwambia tu.Hivi tumefikia kubeza watumishi wa mungu. Nina wasiwasi sana. Naomba tuwe makini.
So Matsai anasema Korona imerudi tena Tz?Lakini huyu Matsai si alishasema Mungu ameiepusha Tanzania na Corona?
NiiceHongera kwa kuwa muumini wa kanisa la Korogwe Kimara