Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Hii series ni zaidi ya 24.

Hakikausha na hapa basi atakuwa ameconfirm.
 
Hii ishu inachanganya jamani!!, inaonekna kama alinunua majina mara mbili!!!

Jina La lasaba na la Form four!!!!

Alimaliza la saba hakufaulu (hakuchaguliwa) akapata jina la daudi bashite nalo Form four akazungusha (akapata zero)!!! akanunua la Poul!!!

Ila Kama ni kweli bado naona anayo loop ya kuchomoka kwa sababu:-

*Vyeti vya zamani havina picha!!!
* kwa nafasi yake anaweza tengeneza cheti cha kuzaliwa chenye jina la Poul, na kufanana na vinginevyo, so kumshika ikawa ngumu!!!

Ukweli utajulikana iwapo:-

*Poul(mmiliki) mwenyewe atakiri kuuza cheti
*kupatikana kwa cheti cha ubatizo
*kupatikana kwa kadi ya clinick
*marafiki alio soma nao kueleza ukweli
*waalimu waliomfumdish kukiri AMA kudhibitisha umiliki wa jina


Huu mchezo mpaka sasa upo wawatu kununua majina, isipokua vyeti imedhibitiwa kidogo!!!

Na siku waki hakiki kwa mtindo wa majina, wengi wataacha kazi!!! Maaana wengi wamenunua majina ya watu wakayasomea

"POLE BASHITE"
 
Result slip ya mtu nayo ni cheti chake. Gwajima ana waumini ambao wanafanya kazi sehemu mbalimbali including National Examination Council hivyo ni rahisi kwake kupata baadhi ya documents
Ndugu kuwa serious div zero unapewa results slip?
 
vyeti sio shida maana kuna leaving certificate, au result slip(sina uhakika kama ukizungusha na hii unapata).
Tatizo linakuja amepataje vyeti vya mtu mwingine kama gwajima anamaanisha orginal anazo ofisini kwake.

Ila yote kwa yote, Tuhuma za gwajima za madawa vyombo husika viendelee maana kusema anamuonea wivu sio excuse ya yeye kutuhumiwa kama mtanzania yoyote inavyotokea anatuhumiwa.

Mkuu nae kama ikithibitika ni kweli katuzunguka academically , atupishe pale jijini kwa heshima ya zoezi la uhakiki na integrity ya uongozi wa awamu ya tano Hakuna namna.
 
Eti dv zero kweli anauza sembe uyo
Tuhuma zisipojibiwa huwa ni ukweli.kauli ngapi zimekuwa zikikanushwa Na viongozi wa serikali Huku wakitoa ushahidi. Na Hili suala walimalize kwa makonda kutoa ushahidi wa vyeti vyake. Ili kupata kuwafungulia mashtaka vizuri wanaoleta habari Za uongo.
 
Hii movie natamani isiisheeeee kwakweli
Movie inabahati mbaya inaanza kubamba tu na sie tuliokuwa tunasubiria Designated survivor episode ya 11 ndio hiyoo March inarudi tena,sasa sijui Kolomije na Jacq Bauer watakuwa wanapeana nafasi ya airtime
 
Mnataka kuzuia mafuriko kwa mkono?

Ebu rudisheni akili zenu.

Kanisa likifungiwa ndiyo mtu wenu atakuwa na vyeti vya div 1?

Mumshauri mtu wenu atubu kweli kweli

1. Wizi Pamba sec
2. Wizi wa cheti cha mtu na jina lake
3. Wizi wa simu bunge la katiba
4. Kumpiga kofi mzee Warioba
5. Kuwatuhumu watu na madawa ya kulevya.

Huo wizi mwingine uliompa utajiri atajua mwenyewe na Mungu wake.

Na wewe bush lawyer tutajua tu habari zako humu humu. Maana Lumumba wote kuna dalili ya kuwa ni majanga tupu
 
Hii ishu inachanganya jamani!!, inaonekna kama alinunua majina mara mbili!!!

Jina La lasaba na la Form four!!!!

Alimaliza la saba hakufaulu (hakuchaguliwa) akapata jina la daudi bashite nalo Form four akazungusha (akapata zero)!!! akanunua la Poul!!!

Ila Kama ni kweli bado naona anayo loop ya kuchomoka kwa sababu:-

*Vyeti vya zamani havina picha!!!
* kwa nafasi yake anaweza tengeneza cheti cha kuzaliwa chenye jina la Poul, na kufanana na vinginevyo, so kumshika ikawa ngumu!!!

Ukweli utajulikana iwapo:-

*Poul(mmiliki) mwenyewe atakiri kuuza cheti
*kupatikana kwa cheti cha ubatizo
*kupatikana kwa kadi ya clinick
*marafiki alio soma nao kueleza ukweli
*waalimu waliomfumdish kukiri AMA kudhibitisha umiliki wa jina


Huu mchezo mpaka sasa upo wawatu kununua majina, isipokua vyeti imedhibitiwa kidogo!!!

Na siku waki hakiki kwa mtindo wa majina, wengi wataacha kazi!!! Maaana wengi wamenunua majina ya watu wakayasomea

"POLE BASHITE"
kama shule ni pamba, kulikuwa na shule mbili sehemu moja
Pamba mchana/day - waliofaulu darasa la saba
Pamba evening class - ambao hawakuchaguliwa darasa la saba lkn hawana uwezo wa kwenda private za fweza nyingi
 
Bwana yuleee,kijana yulee alipata zero,,zero maana yake ni hajui kila kitu ahahhahajaja,Gwajima ananipaga raha sana akipaka watu
 
CDM hamna akili NECTA hawakupi Cheti ukipata DIV 0 huyo mwehu wenu hicho Cheti chenye Ziro kakitoa wapi
Kwa nini wasikupe cheti wakati ni haki yako?
Ukipata DIV 0 au DIV minus 0 au Minus 1 wanakupatia.

Zero pia ni daraja. Wenyewe fisiem wanawaita daraja la "Vi la ka"? "Vi ra sa"?

Gwajima anasema jipu lipo mbele pua ya mtumbuaji lakini mtumbuaji ameamua kusitisha operation ya kutumbua. Hili linchi lina kitu sio ya kawaida. Likitu linaitwa "unafiki".

Hivi TRA wameamua nao kusitisha kutoa takwimu za makusanyo ya kila mwezi?
 
Back
Top Bottom