santos mtn
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 346
- 368
anasema ana namba hadi ya mama Kabese alipokua anakaa Daud
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea na Gwajima au unaongea na simu?Huyu mchungaji au kanyaboya
Mtaje tupo kwenye safisha safisha siyo wanaonea walimu tu.Mbona kuna Mkuu wa mkoa mwingine naye alipata zero
Atafumba ili kuficha kashfa ya kuwa alichagua bosheni maana yy ndo alimteuaMchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.
Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.
Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?
Hata kama ni sasa,ukweli upo?Ndalichako tumbua hewa huyu,ana cheti fekiWalikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Kila jambo na wakati wake.. Wazungu wanasema time flies.. Na kila mtu atahukumiwa wakati ukifikaWalikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
hatusikilizi chochote dhidi ya makonda. sasa hapa kazi tu na wauza unga. wajibu tuhuma na kibao wapo lupango. hawampotezi mtu maboya.Mchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.
Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.
Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?
Tokea lini div 0, akapewa certificate? Miaka hiyo anasoma Makonda mtu alipata div 0, kulikuwa hakuna chetiGwajima amesema anavyo vyeti vya Daudi Bashite alivyopata divion 0 vipo ofisini kwake
.
Ah ah ah! Cheti kije kwa njia ya maombezi ....Tujifunze unapojiona wewe ni msafi sana na kuanza kuchafua majina ya watu matokeo yake ndio haya.nasikia anashinda kwa masheikh na maaskofu wamuombee sijui ndo apate cheti hata aeleweki. Tujifunze jamani
Yeye alivitoa wapi?Gwajima amesema anavyo vyeti vya Daudi Bashite alivyopata divion 0 vipo ofisini kwake
.
asee umetishaGwajima tupostie vyeti vya mtu yule kidadeki siafu kakamata korodani za daudi bashite tuone kama hatavua nguo amtoe
Mimi macho kodo nione utupu wa Daudi
Sianga anashughulika na wauza unga!Makonda ashakabidhi kwenye mamlaka husika!Sasa tuje kwake,ana cheti cha kwake?hatusikilizi chochote dhidi ya makonda. sasa hapa kazi tu na wauza unga. wajibu tuhuma na kibao wapo lupango. hawampotezi mtu maboya.