msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,763
- 3,198
Atakitoaje kama mtu ukiwa na four ya mwisho 35 huwa hawapewi cheti unataka akitoe wapi ili awaonyeshe?Sasa mkuu kinacho mshinda huyo bashite kukitoa hadharani hicho cheti kama kweli anacho ni nini?? Ili huu mjadala huu uishe ni nini??? Kwani hapo ndipo watu wana kuwa na wasiwasi!! Wewe mtu akutuhumu kitu tena cheti ambacho ushahidi uko kwenye maandishi unakuwa mgumu kukitoa hadharani!! Je ungeambiwa wewe ni shoga si ndio mziki mnene ku dhibitisha?!! Hapa bwana kuna shidaaaaaa