Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Sasa mkuu kinacho mshinda huyo bashite kukitoa hadharani hicho cheti kama kweli anacho ni nini?? Ili huu mjadala huu uishe ni nini??? Kwani hapo ndipo watu wana kuwa na wasiwasi!! Wewe mtu akutuhumu kitu tena cheti ambacho ushahidi uko kwenye maandishi unakuwa mgumu kukitoa hadharani!! Je ungeambiwa wewe ni shoga si ndio mziki mnene ku dhibitisha?!! Hapa bwana kuna shidaaaaaa
Atakitoaje kama mtu ukiwa na four ya mwisho 35 huwa hawapewi cheti unataka akitoe wapi ili awaonyeshe?
 
Gwajima Anasema ana ushahidi wa Cheti cha Makonda cha Form four alichopata Zero! Hapa Mchungaji kasema Uongo. Necta hawatoi cheti kwa Wenye zero
Hujamuelewa mtumishi..aliyemaliza form four hata kama ana zero...anapewa cheti..living certificate..so kuna ushahidi wa cheti cha kuhitimu..pia shule husika ukienda kuna record za wanafunzi wote

Kinachofanyika hapo ni Cheti cha form4 unambatanisha na matokeo ya wanafunzi wote wa mwaka huo...Makonde haponi na hili ni doa kwa Magufuli

Issue sio cheti..je ? Nchi inaruhusu kufoji vyeti

Tatizo lipo kwenye kufoji...je inaleta image gani ndani ya jamii
 
Gwajima Anasema ana ushahidi wa Cheti cha Makonda cha Form four alichopata Zero! Hapa Mchungaji kasema Uongo. Necta hawatoi cheti kwa Wenye zero
Hujamuelewa mtumishi..aliyemaliza form four hata kama ana zero...anapewa cheti..living certificate..so kuna ushahidi wa cheti cha kuhitimu..pia shule husika ukienda kuna record za wanafunzi wote

Kinachofanyika hapo ni Cheti cha form4 unambatanisha na matokeo ya wanafunzi wote wa mwaka huo...Makonde haponi na hili ni doa kwa Magufuli

Issue sio cheti..je ? Nchi inaruhusu kufoji vyeti

Tatizo lipo kwenye kufoji...je inaleta image gani ndani ya jamii
 
Kazi kwenu necta, utumishi wa umma, tume ya maadili, tamisemi na mh raisi. Kuna mtuhumiwa wenu hapo.
 
Gwajima amechemka:Toka lini division zero ikapewa cheti.Mchungaji Gwajima anadai anavyo vyeti vya division zero ,vya Daud Basheti,na kwamba viko ofisini kwake.Swali ,toka lini division zero kuna certificate? Mchungaji huyu ni mzushi ,muongo na anadanganya waumini wake.
 
Au madr wote wakikamatwa na vyeti vya kufoji ..tuweke uchama ndani...sasa nchi inapoenda sio kuzuri...german waziri wa ulinzi alijiuzuru..kisa tu..ali pragilize Phd ya mtu mwingine

Ajabu Tz mtu tena image ya taifa..ana foji vyeti..then wanaendelea watu kuleta siasa
 
Kwa maoni yangu hata kama alipata zero lakini kwa vitu anVyovifanya inaonyesha ni mtu mwenye elimu ya uprofessa,endelea Makonda na Mungu u pamoja nawe.
Shikilia hapo hapo kwani nchi ilikuwa imeshaoza kwa madawa ya kulevya kwavile hata wale tulioamini wanatuongoza kwenda peponi nao walizama ktk biashara hii.
Makonda mti wenye matunda mazuri na matamu ndiyo hupigwa mawe,ipo siku watakuambia tunajua hatakitovu chako kilipotupwa ili tu ukatetamaa.
 
Labda ana leaving certificate na verified list ya matokeo so anachofanya ni kulinganisha jina na registration number
 
tunampenda huyu mwenye zero, anayewajali watanzania..Makonda tuko na wewe!
Hatuna shida na zero yake ila uhakiki wa vyeti utakuwa hauna maana kama viongozi wenye vyeti feki wanaachwa na vyeti hivyo.

Kwa kuwa ukuu wa mkoa ni cheo cha kisiasa anaweza kuendelea nao na cheti chake halisi cha darasa la 7(maana form 4 zero) na jina lake halisi badala ya kudanganya.
 
daa!! hakuna jinsi asipojibu na hapa utumbuzi hauna mbadala kwake.
Ingawa gwajima na watu wa kwenye list watakuwa hawajaepuka mkono wa dola kama itabainika moja kwa moja au kwa kificho wanajiuhusisha na madawa.
 
Hatuna shida na zero yake ila uhakiki wa vyeti utakuwa hauna maana kama viongozi wenye vyeti feki wanaachwa na vyeti hivyo.

Kwa kuwa ukuu wa mkoa ni cheo cha kisiasa anaweza kuendelea nao na cheti chake halisi cha darasa la 7(maana form 4 zero) na jina lake halisi badala ya kudanganya.

sawa rafiki

ila teuzi za hawa huwa zinafanyika kwa kuhakiki kwanza usafi wao

kama wanachosema ni kweli, kuna serious problem kwenye usalama wa taifa
 
Back
Top Bottom