Mmmhhhhh!!!! mimi sijui.
NInachojua mimi huyu mama katuamsha Watanzania kwenye mambo ya shule. Ule ujinga wa kupeleka watoto wadogo Kenya na Uganda sasa
umeisha kwasehemu kubwa huyu mama kachangia kwa kuanzisha shule zake ambazo zina quality ya kutosha. Katoa ajira kwa Watanzania na si ajabu analipa kodi ya kutosha. Hivyo ndivyo vichwa tunavyotaka Tanzania na wala sio wale wajinga waliojaa kila sehemu Tanzania wanaokumbatia wageni kwa cost ya Watanzania.
Mimi ninamsifu kwa hilo maana nina uhakika nalo, sina uhakika na hayo ya madawa ya kulevya.
Sitaki kuongea sana juu ya yeye kuingia kwenye siasa wala habari za madawa ya kulevya maana sina uhakika n a lolote. Ninachojua ni kwamba kweli kawasaidia watanzania kuinua elimu (actually english medium na si elimu in its general term) ambayo watu wengi walikuwa wanaifata kenya na ug. Ila napinga hilo la ajira coz most of waajiwa wake ni wakenya na waganda, anayebisha akachunguze. wabongo wachache na hiki mi kinaniuzi sana.