Jinsi Uteuzi wa Nchimbi ulivyofifishwa na Taarifa za Maandamano ya CHADEMA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,720
218,268
Dkt Emmanuel Nchimbi ameteuliwa na chama chake kuwa Katibu Mkuu , kwa kadiri ya kumbukumbu zetu , kwa mtu yeyote kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM ni jambo kubwa linalopaswa kuzagaa midomoni mwa wananchi na vyombo vya Habari , hii ni kwa sababu Chama hicho ni kikongwe mno , ikizingatiwa pia kwamba nafasi hiyo wamepita watu wengi maarufu , wakiwemo Philipo Mangula , Yusufu Makamba , Kinana na wengineo , Hivyo tulitarajia kishindo kikuu kwa uteuzi wa Nchimbi .

Lakini kwa Bahati mbaya sana, uteuzi huu wa Nchimbi umekuja katika kipindi kibaya , kipindi ambacho Mwamba wa siasa za Nchi Freeman Mbowe , ametangaza Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi yaliyopangwa kufanyika 24/01/2024 , Tangazo hili la Mbowe limepokelewa kwa kishindo kikuu na wananchi , ambao wameahidi kuunga mkono na kushiriki Maandamano hayo ya Amani .

Kwa kifupi ni kwamba Taarifa za uteuzi wa Nchimbi zimezimwa na Taarifa ya maandamano ya Chadema , Yaani ni kwamba wananchi wanaona kuwa Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi ni Jambo kubwa na muhimu zaidi kuliko Uteuzi wa Nchimbi, yaani Uteuzi wa Nchimbi umepuuzwa na Wananchi kwa vile wanaona kuna jambo kubwa zaidi kuliko uteuzi wake, kisiasa na hasa kwa Nchi kama Tanzania hii ni Progress

FB_IMG_1677688856429.jpg
 
Dkt Emmanuel Nchimbi ameteuliwa na chama chake kuwa Katibu Mkuu , kwa kadiri ya kumbukumbu zetu , kwa mtu yeyote kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM ni jambo kubwa linalopaswa kuzagaa midomoni mwa wananchi na vyombo vya Habari , hii ni kwa sababu Chama hicho ni kikongwe mno , ikizingatiwa pia kwamba nafasi hiyo wamepita watu wengi maarufu , wakiwemo Philipo Mangula , Yusufu Makamba , Kinana na wengineo , Hivyo tulitarajia kishindo kikuu kwa uteuzi wa Nchimbi .

Lakini kwa Bahati mbaya sana , uteuzi huu wa Nchimbi umekuja katika kipindi kibaya , kipindi ambacho Mwamba wa siasa za Nchi Freeman Mbowe , ametangaza Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi yaliyopangwa kufanyika 24/01/2024 , Tangazo hili la Mbowe limepokelewa kwa kishindo kikuu na wananchi , ambao wameahidi kuunga mkono na kushiriki Maandamano hayo ya Amani .

Kwa kifupi ni kwamba Taarifa za uteuzi wa Nchimbi zimezimwa na Taarifa ya maandamano ya Chadema , Yaani ni kwamba wananchi wanaona kuwa Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi ni Jambo kubwa na muhimu zaidi kuliko Uteuzi wa Nchimbi , yaani Uteuzi wa Nchimbi umepuuzwa na Wananchi kwa vile wanaona kuna jambo kubwa zaidi kuliko uteuzi wake , kisiasa na hasa kwa Nchi kama Tanzania hii ni Progress

View attachment 2873290
Hizi ndio dalili kuu za kufilisika kisiasa!
Badala ya kuleta hoja zenye mashiko kwa wananchi. CHADEMA mnafanya siasa za kutafuta matukio.

Ukweli ni kwamba Nchimbi kama Emmanuel Nchimbi ni jambazi lingine la CCM ambalo ujio wake tena ndani ya siasa za nchi hii.
Hususan ndani ya CCM. Ni habari mbaya kwa watanzania kwa sababu ni muendelezo wa kundi la msoga la kifisadi.
Kwa hiyo kupuuziwa kwake na UMMA wa Watanzania ni kwa sababu wameona mafisadi wakizidi kujiimarisha ndani ya CCM.
Na sio kwamba maandamano ya Chadema ndio sababu kuu.
Tafuteni sera badala ya kujiandikia saa ingine upuuzi usio na uhalisia.
 
L

Kwa ufisadi huyu ni Ngulumbi; alishutumiwa kwa kuhongwa pesa nyingi na marehemu Subash Patel wakati kujenga numbs la vijana hapo mbele ya Mzizima Secondary school.
Maza amerudisha majangili yote kwenye system yatafune nchi vizuri sn
 
Hizi ndio dalili kuu za kufilisika kisiasa!
Badala ya kuleta hoja zenye mashiko kwa wananchi. CHADEMA mnafanya siasa za kutafuta matukio.

Ukweli ni kwamba Nchimbi kama Emmanuel Nchimbi ni jambazi lingine la CCM ambalo ujio wake tena ndani ya siasa za nchi hii.
Hususan ndani ya CCM. Ni habari mbaya kwa watanzania kwa sababu ni muendelezo wa kundi la msoga la kifisadi.
Kwa hiyo kupuuziwa kwake na UMMA wa Watanzania ni kwa sababu wameona mafisadi wakizidi kujiimarisha ndani ya CCM.
Na sio kwamba maandamano ya Chadema ndio sababu kuu.
Tafuteni sera badala ya kujiandikia saa ingine upuuzi usio na uhalisia.
Nguvu ya Chadema inatisha ,
 
Dkt Emmanuel Nchimbi ameteuliwa na chama chake kuwa Katibu Mkuu , kwa kadiri ya kumbukumbu zetu , kwa mtu yeyote kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM ni jambo kubwa linalopaswa kuzagaa midomoni mwa wananchi na vyombo vya Habari , hii ni kwa sababu Chama hicho ni kikongwe mno , ikizingatiwa pia kwamba nafasi hiyo wamepita watu wengi maarufu , wakiwemo Philipo Mangula , Yusufu Makamba , Kinana na wengineo , Hivyo tulitarajia kishindo kikuu kwa uteuzi wa Nchimbi .

Lakini kwa Bahati mbaya sana , uteuzi huu wa Nchimbi umekuja katika kipindi kibaya , kipindi ambacho Mwamba wa siasa za Nchi Freeman Mbowe , ametangaza Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi yaliyopangwa kufanyika 24/01/2024 , Tangazo hili la Mbowe limepokelewa kwa kishindo kikuu na wananchi , ambao wameahidi kuunga mkono na kushiriki Maandamano hayo ya Amani .

Kwa kifupi ni kwamba Taarifa za uteuzi wa Nchimbi zimezimwa na Taarifa ya maandamano ya Chadema , Yaani ni kwamba wananchi wanaona kuwa Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi ni Jambo kubwa na muhimu zaidi kuliko Uteuzi wa Nchimbi , yaani Uteuzi wa Nchimbi umepuuzwa na Wananchi kwa vile wanaona kuna jambo kubwa zaidi kuliko uteuzi wake , kisiasa na hasa kwa Nchi kama Tanzania hii ni Progress

View attachment 2873290
Ni kweli kabisa Uteuzi wa Nchimbi hauna amsha kama teuzi zingine!!

Lakini ukweli ni kwamba:
1. Tangu alipotolewa ubalozini takribani miezi 2 iliyopita tayari watu alishajua atakuwa ni yeye. So hakuna amsha amsha.
2. Majority wanayo hofu kwamba pengine Msoga gang imerejea tena. Inajulikana jinsi kundi hilo lisivyopemdwa ndani na nje ya chama.

Lakini ya maandamano ya Mbowe siyo habari tena ya kusisimua. Kitendo Cha Lissu kuyakimbia kumerudisha sana nyuma morali ya Wana CHADEMA.

Povu RUKSA
 
Ni kweli kabisa Uteuzi wa Nchimbi hauna amsha kama teuzi zingine!!

Lakini ukweli ni kwamba:
1. Tangu alipotolewa ubalozini takribani miezi 2 iliyopita tayari watu alishajua atakuwa ni yeye. So hakuna amsha amsha.
2. Majority wanayo hofu kwamba pengine Msoga gang imerejea tena. Inajulikana jinsi kundi hilo lisivyopemdwa ndani na nje ya chama.

Lakini ya maandamano ya Mbowe siyo habari tena ya kusisimua. Kitendo Cha Lissu kuyakimbia kumerudisha sana nyuma morali ya Wana CHADEMA.

Povu RUKSA
Unaandika pumba halafu unajhami !
 
Dkt Emmanuel Nchimbi ameteuliwa na chama chake kuwa Katibu Mkuu , kwa kadiri ya kumbukumbu zetu , kwa mtu yeyote kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM ni jambo kubwa linalopaswa kuzagaa midomoni mwa wananchi na vyombo vya Habari , hii ni kwa sababu Chama hicho ni kikongwe mno , ikizingatiwa pia kwamba nafasi hiyo wamepita watu wengi maarufu , wakiwemo Philipo Mangula , Yusufu Makamba , Kinana na wengineo , Hivyo tulitarajia kishindo kikuu kwa uteuzi wa Nchimbi .

Lakini kwa Bahati mbaya sana , uteuzi huu wa Nchimbi umekuja katika kipindi kibaya , kipindi ambacho Mwamba wa siasa za Nchi Freeman Mbowe , ametangaza Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi yaliyopangwa kufanyika 24/01/2024 , Tangazo hili la Mbowe limepokelewa kwa kishindo kikuu na wananchi , ambao wameahidi kuunga mkono na kushiriki Maandamano hayo ya Amani .

Kwa kifupi ni kwamba Taarifa za uteuzi wa Nchimbi zimezimwa na Taarifa ya maandamano ya Chadema , Yaani ni kwamba wananchi wanaona kuwa Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi ni Jambo kubwa na muhimu zaidi kuliko Uteuzi wa Nchimbi , yaani Uteuzi wa Nchimbi umepuuzwa na Wananchi kwa vile wanaona kuna jambo kubwa zaidi kuliko uteuzi wake , kisiasa na hasa kwa Nchi kama Tanzania hii ni Progress

View attachment 2873290
maandamano haramu ya mapanyarodi, maporaji na majambazi yatakayosafidhwa vizuri sana siku ya usafi January 24 🐒
 
Back
Top Bottom