Ningekuwa na Uwezo wa Kumchukua Watu Msukule; RA angekuwa # 1 kwenye list yangu.
Ujuzi huu unafundushwa wapi?
Wewe YeboYebo ovyoo kabisa kwi kwi kwi!
Ningekuwa na Uwezo wa Kumchukua Watu Msukule; RA angekuwa # 1 kwenye list yangu.
Ujuzi huu unafundushwa wapi?
Hapana; dhambi ya kumfukuru Roho Mtakatifu haijatajwa adhabu yake; tunachofahamu ni kuwa "mshahara wa dhambi ni mauti, na karama ya Mungu ni uzima wa milele". Hivyo dhambi zote mshahara wake ni mauti.
Originally Posted by GAME THEORY
Nakumbuka mwaka 1992 gazeti la BUSINESS TIMES (enzi hizo lilikuwa refu kama mzalendo) lilitoa mlolongo wa tuhuma dhidi ya huyo mama na ile kesi yake na Mumewe.
Unajua pamoja na fitna zote hizo huyu mama mimi kwangu ni true definition of a HUSTLER...na kama nilivyosema hapo awali ile vita ya RWANDA ilimsaidia kwa kiasi kikubwa kwani aliwatumia vilivyo wale wakimbizi aliowajaza kwa MOSHI MAJUNGU... na wazungu wa CHICAGO lile liliwagusa mno na ukizingatia wengi wa wale wakimbizi walikuwa ni wakatoliki lakini huyu mama yeye hakujali na along the way wale ma evangelists toka CHICAGO waliona why not give her more money...na of course na yeye hapo akajipanga vizuri na zile TAX EXEMPTIONS alizokuwa akipata achilia mbali ukaribu wake na LUHIGO pale bandari ya Dar ambako of course alipewa misamaha ya kila namna
Kama shutuma zake za kuhusika na biashara ya bwibwi hawezi kukosa kuwarubuni kondoo wa bwana wajifanye misukule ili apate kodi ya jumapili nyingiSikumbuki kuandikwa na kwenye Business Times, lakini nakumbuka alishawahi kuandikwa kwenye Family Mirror na mhariri mmoja wa kizungu (Mama Tarimo)ambaye alikuwa anaishi jirani yake kule Mikocheni. Na issue iliyoandikwa kwenye hilo gazeti ilikuwa ni ile ya kontena la mitumba aliloliingiza nchini kwa ajili ya walio athirika na mafuriko ya Tanga.
Kuhusu wakimbizi wa Rwanda, ni kweli wale ndio waliompa breakthru. Alifanikiwa kuwashawishi baadhi ya Wanyarwanda wale kusali katika kanisa lake wakati huo lilikuwa linaendeshwa katika madarasa ya shule ya Ushindi, Mikocheni. Hapo ndipo wazungu wake waakanza kumwaga misaada. Wale wazungu walikuwa wanatuma kuanzia pesa, nguo, mpaka madawa. Speaking of madawa, guess yule mama alifanya nini na kontena za madawa?....Hint: Alifungua pharmacy yake pale kinondoni. You can guess the rest....
Wakati huo wa makontena ya madawa, kulikuwa na tetesi kwamba alikuwa anashirikiana na drug dealers wa kibongo kupenyesha madawa ya kulevya. Kuna dealer mmoja, ambaye alikuwa ni raia wa nchi mmoja West Africa (siikumbuki) alikuwa anaishi pale pale mikocheni. Na ilikuwa inasememkana kwamba yule dealer alikuwa anapenyeza mizigo yake ndani ya zile kontena. Na kwa sababu zile kontena zilikuwa zinaingizwa kupitia umbrela ya udini na kwa misaada ya wakimbizi, basi yalikuwa hayakaguliwi. Na kumbuka kipindi hicho tulikuwa na Bw. Rukhusa as our Head of State, plus MD wa bandarini alikuwa utahadhi Mzee Athumani Janguo. Hebu niambie mzigo gani ambao umgekumbwa na bughudha za kukaguliwa kama mwenye mzigo hataki uguswe?
Ile St. Mary alifungua na Filbert Bayi. Lakini down in the road, waligongana, basi yule mama akaamua kununua share zote za F. Bayi. Hapo ndipo F. Bayi akaenda kufungua shule yake. .
I'm not gonna get into details about watoto wake na uchungaji wake. kifupi ni kwamba, kama kuna kitu ame fail basi ni ulezi. Kati ya watoto 4, 1 tu ndio afadhali. Na hiyo afadhali yake ni kasheshe.
Anwyay, kama ulivyosema GT, huyu mama ni true hustler. Siku zote huwa ninasema, kati ya mama wajanja Tz, huyu mama ni #1...yuko chini sana #2 au 3. Ni mmoja wa wabongo walichuma juani na kula kuvulini kisawasawa. Kwa bahati mbaya michezo michafu mingi imekuwa involved in the process. But that's what Tanzania ilivyokuwa na ilivyo hivi sasa, who can blame her?? Hopefully, tunakokwenda ni kuzuri.
Ya kaisari mpe kaisari ya MUNGU mpe MUNGU!
Mwanakijiji,
Tunaelemishana tu hapa. Hakuna mjuaji zaidi. Naanza kuthibitisha maneno yangu:
Marko 3:28:29 Amini nawaambia dhambi zote watasamehewa wanadamu na kufuru zao watakazokufuru zote, bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele.
Luka12:10 Na kila mtu atakayenena neno juu ya mwana wa adamu atasamehewa. bali atakayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa
Mathayo 12:31-32 Kwasababu hiyo nawaambia Kila dhambi na kila neno la kukufuru wanadamu watasamehewa, ila kumkufuru Roho hawatasamehewa.
Nadhani mwanakijiji na wenzake watakuwa wamejifunza kitu kipya hapo.
Asanteni
FP
Kuna wakati fulani Yesu alimponya mtu mmoja mwenye ukoma; akamwambia "nenda kwa makuhani ukajioneshe". Lengo lilikuwa ni kuthibitisha kuwa ameponga kweli na haikuwa hoax.
Wakati mwingine alimponya mtu mmoja aliyezaliwa kipofu. Wakuu wa Makuhani waliposikia habari hiyo hawakuamini na wakawaita wazazi wa huyo jamaa na kuuliza habari zake. Wale wazazi wakasema "yeye ni mtu mzima muulizeni mwenyewe". Yule bwana alipoitwa akawaambia kuwa "mimi sijui kama huyo aliyeniponya ni mtakatifu au la, ninachojua ni kuwa nilikuwa kipofu na sasa naona".
Katika mifano hiyo miwili utaona kuwa kwenye mambo ya miujiza kufanya uchunguzi siyo kukana miujiza bali kuondoa uwezekano wa uongo. Ninaamini miujiza lakini miujiza yote inafanywa kwa kutumia vitu vya asili. So, kuhoji suala la misukule si kukana uwezo wa Mungu kutenda miujiza bali kuthibitisha nguvu hizo na kuzikiri lakini wakati huo huo kuondoa uwezekano wa roho ya mwanadamu kujikweza na kujiinua na kujisamamisha mahali pa Mungu!
So, Miujiza tunaizungumzia lazima itoke from the natural to the supernatural;
e. Muujiza usiofuata (d) hapo juu hauko katika realm ya miujiza kwani unahusu uumbaji na kazi ya Mungu moja kwa moja anapofanya something out of nothing.
Na Mana waliokula wana Israeli jangwani ilitoka wapi?
Haya mambo mbona hayasikiki katika makanisa mengine kama anglikana, RC, lutherani n.k.
YESU aliacha maagizo ambayo makanisa lege lege hushindwa kuyatekeleza......!
KWA JINA LANGU WATAFUFUA WAFU.....!
YESU aliacha maagizo ambayo makanisa lege lege hushindwa kuyatekeleza......!
KWA JINA LANGU WATAFUFUA WAFU.....!