]Tatizo lako unafikiri hili ni kwa ajili ya MKJJ, sina interest yoyote.[/B] Kama mnakubali na mmeridhika na misukule yenu, well and fine. Lakini wenye kuuliza maswali wana haki ya kuuliza na kama ndugu wanataka kuchunguza au vyombo vya usalama vinataka kufanya hivyo watu wasipige kelele kuwa watu wanapinga miujiza!
Kilichokufanya uanzishe thread ni nini kama huna interest?