Mbunge wa TARIME apigwa na wananchi

Mbunge wa TARIME apigwa na wananchi

aha aha haya sasa inanifurahisha sana nacho jua nchi hii inaongozwa na chadema
 
Lazima akimbie maana yeyote aliye ccm hana majibu yakujibu anapokutana na mpinzani! Hayo ndio maisha yao! Wanateseka sana hapa Arusha!
 
Naunga mkono wanatarime kuwapa kichapo ccm na mbunge wao. Pia walitakiwa wamtafute yule aliegombea kwa chama cha cuf nae wampe kichapo maana ndie aliyewavurugia target ya kumpata mbunge wao wa moyoni na mpiganaji wa kweli. Kweli ndoa ya ccm na cuf imewadhulumu wananchi haki zao nyingi ikiwa ni pamoja na haki ya kuishi.
Kwenye gazeti la raia mwema leo kuna picha ya ndege ya Qatar ikitorosha nyara kwa usaidizi wa serikali ya chama cha magambi.
NASEMA KIPIGO NI HAKI YAO WANAYOISTAHILI KABISA!
.
 
Nilikwishawaambia "mawe ni mepesi mkononi, ila ni mazito usoni" sasa leo hii imeanza tarime, mfano ni huu kuanzia sasa.
Na sio tu kwa nyambari, ila tukio hili litawafuata wote waliomsaidia kuingia bungeni, akina wasira, mama kabaka wale wote tunaowajua n.k
 
tarime wamekata kuzika, nainasemekana cdm wameomba kibali cha kufanya maandamano na baadae mkutano ikifatiwa na mazishi..serikali imekataa kuwapa kibali ikidai ni kuwazalilisha marehemu
 
:mimba:weweeee usiwe hivyo,hata wewe ungekuwa magamba ungekataa rushwa na mambo yao ya kifisadii?
kweli asa si wewe ungekuwa unafurahiwa kifo?
au una uchungu na hii inji yako nzuri eee?usifurahie kifo cha mwenzio banaa
hahaha:A S 103:




.
 
Aliwahi kushauri, viongozi wa CCM na serikali ya JK wapigwe mawe kwani si wasikivu. Nadhani wananchi wa Tarime wameamua kuapply ushauri huo kwa mbunge wao.
 
huyo aliyepost hii thread ni source tosha tunamwamini ni mtu wa karibu na lema ni diwani wa kata ya levolosi RCHUGA KUPITIA cdm Source anaweza kuwa yeye mwenyewe dah! na huu utamaduni wa source please mh sometime unaboa ka huamini leave it!
 
huyo aliyepost hii thread ni source tosha tunamwamini ni mtu wa karibu na lema ni diwani wa kata ya levolosi RCHUGA KUPITIA cdm Source anaweza kuwa yeye mwenyewe dah! na huu utamaduni wa source please mh sometime unaboa ka huamini leave it!

Umeona eeh! Watu wanang'ang'ania source, source, kwani hizi thread zinajipost? Na nikisema source ni taarifa ya habari radio fulani, huyo aliyeitafuta habari ikasomwa redion na anaepost hapa wote ni watu.
 
wangekuwa majasiri kama watu wa tarime kingeshakuwa kimeeleweka kama Misri
 
Hivi huyu Nyambari Nyangwine ndiye tuliyekuwa tunasoma vitini vyake vya kiswahili miaka hiyo?
 
bora abondwe..ana maringo sana huyu bwana, badala ya kuwatumikia wananchi ye analeta usharobaro,..nakumbuka huyu ndiye aliwatukana wenzake kwenye mkutano jukwaani..hadi wakamfungulia kesi aombe radhi!! Nadhani akili imemkaa sawa sasa.,watu washachoka,sasa hivi kichobaki ni kipigo tu...kuna mtu alisemaga ''mawe ni mepesi mkononi lakini mazito usoni''

mkuu hiyo nimeipenda :"mawe ni mepesi mkononi lakini mazito usoni"
 
Nimeione ITV nimependa sana, alafu wadau walikuwa wananyosha vidole viwili kuashiria CDM.
Ni matokeo ya uchakachuaji wa kura
 
alafu eneo la nyamongo akupata kura kabisa alafu anakwenda pale na mkama amekula kona tarime naye si alikuwa na mkutano wake wakujitangaza kujivua gamba
 
Nyambari huyu sio mwandishi halisi wa vitabu anavyovisamabaza, amini amini nawaambia.., anawatumia wanazuoni wengine kuandaa vitabu hivyo na anavimiliki yeye, fanya utafiti wa kina utagundua, kwa kuwa hii sio mada halisi, subiri nitaweka hadharani hata waliwahi kuandaa vitabu hivyo vya uchambuzi na majibu ya kiswahili,.....keep waiting.
 
Back
Top Bottom