Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Nakukumbusha jina la pale nje ya geti "Makanyagio" only to refresh your mind.
na kwenye mtwango baruti ulikuwa unakwenda ? teh teh teh
Nakukumbusha jina la pale nje ya geti "Makanyagio" only to refresh your mind.
Chama cha magamba kusheyi,nawapongeza wananchi wa tarime watanzania tuamke!Habari zilizonifikia dakika 20 zilizopita ni kuwa mbunge wa TARIME mh.Nyangwine kapigwa vibaya sana na wananchi wa Nyamongo na gari lake limechakazwa vibaya sana ...Alikuwa amekwenda Nyamongo kufuatilia suala la kuuwawa kwa wannnchi wa 5 katika mgodi wa North Mara....
Mdau anayenipa habari hizi yuko ndani ya mgodi wa North mara na anasema security status imewekwa RED.......
ANGALIZO: Staki mambo yenu ya kisharobalo kuanza kuniuliza source hapa...habari ndo hiyo mura
Nilibahatika kufika Srilanka, wana madini mengi ya VITO lakini bado uchimbaji wake ni ule wa asili yaani raia wanatumie "Labour Intensive" kuibua hayo madini na vile vile Jewellers zote zinamilikiwa na wao wenyewe. Kutembea Jewellers na kununua vito vyao kwao ni sehemu ya utalii na hili huwekwa kabisa kwenye Safari Itenery.
Sipingani na uchimbaji mkubwa lakini kama hauna manufaa kwa maisha ya Mtanzania hatujachelewa tukirudi kwenye zama za ujima tukawa tunavuna kidogo kidogo tuu kwa kutumia nguvu kazi yetu na pato lote likabaki hapa hapa nchini.
Habari zilizonifikia dakika 20 zilizopita ni kuwa mbunge wa TARIME mh.Nyangwine kapigwa vibaya sana na wananchi wa Nyamongo na gari lake limechakazwa vibaya sana ...Alikuwa amekwenda Nyamongo kufuatilia suala la kuuwawa kwa wannnchi wa 5 katika mgodi wa North Mara....
Mdau anayenipa habari hizi yuko ndani ya mgodi wa North mara na anasema security status imewekwa RED.......
ANGALIZO: Staki mambo yenu ya kisharobalo kuanza kuniuliza source hapa...habari ndo hiyo mura
Acheni kuchukua sheria mkononi.
Kha! Wewe uwe na nidhamu, waziri atiwe vidole tena! Vya pua au?