Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,577
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, Mbunge wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amempongeza Rais Samia kwenda Marekani kuhudhuria Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Sasa ndugu zangu wa Uvccm hili jambo nalo la kusifia kweli? Yaani sasa hivi kila jambo mnasifia kweli maisha bila unafki hayaendi! Enzi za JPM nae mlimsifia kwa kutokusafiri Ughaibuni!
Yaani maajabu hayajawahi kuisha huko CCM 😂😂😂
Sasa ndugu zangu wa Uvccm hili jambo nalo la kusifia kweli? Yaani sasa hivi kila jambo mnasifia kweli maisha bila unafki hayaendi! Enzi za JPM nae mlimsifia kwa kutokusafiri Ughaibuni!
Yaani maajabu hayajawahi kuisha huko CCM 😂😂😂