Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,288
- 6,756
Ukiipa uhuru zenj inakuwa Kambi la wakora hivo dar hapatakarika. Anayetegemea kuvunjika muungano anaota.
Walipewa hiyo kazi lini? Wapi?Tanganyika ilipewa kazi maalumu na US Zanzibar Isiwe huru hatadakika Moja.Ndio maana wakati wa mwalimu ukizungumzia muungano Yanakukuta🤣🤣🤣.
Hata Aboudu jumbe Raisi baada ya karume yalimkuta.
Mpumbavu na wao waje na passport na hata hili bunge waachane nalo wakae kwaoThis is absurd and intolerable. Kwanini wao wajione muhimu sana ktk muungano huu? Kauli kama hizi kutoka kwa kiongozi (mbunge) hazivumiliki!
View attachment 2971992
Kwanza mlichotuachia ni pasport tu mengine yoote watanganyika tunahesabika kuwa wageni hivo harakisheni kabisa. Act iliyokupa tonge ni ya Bara. Unakula mishahara miwili Baraza la wawakilishi na BJYMTZ umevimbiwa sasa unecheua bwege. Kwa sasa mmejaza watoto wenu kwenye mashirika nyeti kama TRA, TPA,Tanesco nk, wengine ni wakuu wa wilaya na mikoa, makatibu tawala.Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.
“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.
Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.
“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.
Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.
=====
My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Acha uzushi!!!Tanganyika ilipewa kazi maalumu na US Zanzibar Isiwe huru hatadakika Moja.Ndio maana wakati wa mwalimu ukizungumzia muungano Yanakukuta🤣🤣🤣.
Hata Aboudu jumbe Raisi baada ya karume yalimkuta.
Tangu mwaka 1962 kikao kilifanyika Nairobi Kenyata alikataa alisema ni mbali ndipo Nyerere kapewa jukumu🤣🤣🤣🤣🤣.Soma vitabu mkuu😂😂😂😂Walipewa hiyo kazi lini? Wapi?
Nahisi Hili wazanzibar wanalitamani Sana sijui kwanini..
Sasa hapo Jiulize huyo ni Mbunge,Je wananchi watakuwaje?
Watu kama hawa hawahitajiki katika jamii kama kuna msitu au kisiwa apelekwe akaishi peke yake na manyani, huyo mtu ni hatari kwa usalama na ustawi wa taifa!Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.
“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.
Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.
“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.
Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.
=====
My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Na bara tunaogopa kwanini? Kusema suala la usalama?
Tusitoe mifano isiyofanana!!!Wazenji wako tayari hata kesho,Bara ndio hawataki.
Kwamba Taiwan na Hong ziwe Nchi huru na jirani ya China? Thubutu.
Wazenji wako tayari hata kesho,Bara ndio hawataki.
Kwamba Taiwan na Hong ziwe Nchi huru na jirani ya China? Thubutu.
Yaani mambo ya kijinga sana.....lakini Wazanzibari walioko Tanganyika ni wengi kuliko Watanganyika walioko Zanzibar.
..Mheshimiwa mbunge akajipange upya kuhusu suala la Watanganyika kuvijaza visiwa vya Ugunja na Pemba.
Cc Nguruvi3
Huyu mbunge ni wa hovyo sana, au ni wale Wamasai wamemkera kuwachapa barora walinzi wa hotel?Watu wenye akili za kibaguzi hata wakiwa wabunge hawasahau asili yao. Yeye alipoingia huku Tanganyika ameingia kwa passport? Ila sishangai sana maana watu au Mtu mbinafsi siku zote dalili yake ya kwanza huwa ni hii
“Chako ni chetu sote lakini chake ni chake peke yake”
Yaani mambo ya kijinga sana...
Kura ya maoni iitishwe kuhusu Muungano.
Ndiye keshakuwa mbunge na Wala yeye si kwanza kusema mambo hayo ya kukera.Muangalieni hapa kwenye profile ya bunge its so sad