Chinga,
Basi jipongeze kwa vile ulivyokula sahani moja na Mwanasiasa na kuweza kufumua fumua wote wazushi Jasusi na nani yule wa Hai. Naona wewe mahiri sana.
Since umeshatubatiza kuwa tumetumwa ( kwa kuwa hatuna akili ya kujituma) na wewe je nani kakutuma? It takes one to know one.
Basi jipongeze kwa vile ulivyokula sahani moja na Mwanasiasa na kuweza kufumua fumua wote wazushi Jasusi na nani yule wa Hai. Naona wewe mahiri sana.
Since umeshatubatiza kuwa tumetumwa ( kwa kuwa hatuna akili ya kujituma) na wewe je nani kakutuma? It takes one to know one.