Nyumba ya mtoto wa Mbowe yakamatwa tayari kupigwa mnada

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565
1709122740352.png

Nyumba inayodaiwa kuwa ya mkurugenzi wa gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe iliyoko Mikocheni, jijini Dar es Salaam, imekamatwa kwa ajili ya kupigwa mnada, ili kulipa deni la malimbikizo ya mishahara ya waliokuwa waandishi na wahariri wa gazeti hilo, Sh62.7 milioni.

Nyumba hiyo ya ghorofa moja iliyoko katika kiwanja namba 9, Mtaa wa Feza, barabara ya Chipata, Mikocheni A imekamatwa leo Jumatano, Februari 28, 2024 na dalali wa mahakama, kampuni ya udalali ya MM Auctioneer & Debt Collectors.

Dalali huyo alifika katika nyumba hiyo saa 3:40 na kuegesha gari lake nje ya geti la nyumba hiyo.

Baada ya muda mfupi Dadley, ambaye ni mtoto wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, alitoka nje na kumfuata dalali huyo na baada ya kusalimiana, dalali huyo alijitambulisha na jukumu alilokwenda kulitekeleza.

Pia soma:
- Mahakama yaamuru nyumba ya mtoto wa Mbowe ipigwe mnada
 

Nyumba inayodaiwa kuwa ya mkurugenzi wa gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe iliyoko Mikocheni, jijini Dar es Salaam, imekamatwa kwa ajili ya kupigwa mnada, ili kulipa deni la malimbikizo ya mishahara ya waliokuwa waandishi na wahariri wa gazeti hilo, Sh62.7 milioni.

Nyumba hiyo ya ghorofa moja iliyoko katika kiwanja namba 9, Mtaa wa Feza, barabara ya Chipata, Mikocheni A imekamatwa leo Jumatano, Februari 28, 2024 na dalali wa mahakama, kampuni ya udalali ya MM Auctioneer & Debt Collectors.

Dalali huyo alifika katika nyumba hiyo saa 3:40 na kuegesha gari lake nje ya geti la nyumba hiyo.

Baada ya muda mfupi Dadley, ambaye ni mtoto wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, alitoka nje na kumfuata dalali huyo na baada ya kusalimiana, dalali huyo alijitambulisha na jukumu alilokwenda kulitekeleza.

Pia soma:
- Mahakama yaamuru nyumba ya mtoto wa Mbowe ipigwe mnada
dawa ya deni ni moja tu,

ni kulipa 🐒
maana hakuna namna nyingine sasa 🐒
 
Back
Top Bottom