Nyarugusu: Oparesheni 255 yawazindua Wananchi, Umati wote wapiga kura ya wazi kukataa Mkataba wa Bandari

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,788
218,420
Kama tulivyoahidi hapo awali kwamba tutawaletea hapa kila kinachoendelea kwenye ukombozi wa nchi unaoitwa Oparesheni 255, Okoa Bandari zetu.

Leo Freeman Mbowe amefika Nyarugusu , ambako wananchi wamemlazimisha kuitisha kura za wazi kuhusu Mkataba wa Bandari , Kama ilivyo kawaida yake Mh Mbowe Ametii amri hiyo ya Wananchi , na mara moja akaitisha kura hiyo.

Matokeo:

Waliokubali Bandari kuuzwa ni Sifuri , bali wananchi wote wametaka Mkataba huo uvunjwe haraka .

FB_IMG_1691491981701.jpg
 
Kama tulivyoahidi hapo awali kwamba tutawaletea hapa kila kinachoendelea kwenye ukombozi wa nchi unaoitwa Oparesheni 255 , Okoa Bandari zetu .

Leo Freeman Mbowe amefika Nyarugusu , ambako wananchi wamemlazimisha kuitisha kura za wazi kuhusu Mkataba wa Bandari , Kama ilivyo kawaida yake Mh Mbowe Ametii amri hiyo ya Wananchi , na mara moja akaitisha kura hiyo .

Matokeo :

Waliokubali Bandari kuuzwa ni Sifuri , bali wananchi wote wametaka Mkataba huo uvunjwe haraka .

View attachment 2711919
Mungu Ibariki CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tulivyoahidi hapo awali kwamba tutawaletea hapa kila kinachoendelea kwenye ukombozi wa nchi unaoitwa Oparesheni 255 , Okoa Bandari zetu .

Leo Freeman Mbowe amefika Nyarugusu , ambako wananchi wamemlazimisha kuitisha kura za wazi kuhusu Mkataba wa Bandari , Kama ilivyo kawaida yake Mh Mbowe Ametii amri hiyo ya Wananchi , na mara moja akaitisha kura hiyo .

Matokeo :

Waliokubali Bandari kuuzwa ni Sifuri , bali wananchi wote wametaka Mkataba huo uvunjwe haraka .

View attachment 2711919
maccm na vibaraka wao yaliyohongwa na dpworld mpaka yatoe cheche kwenye masaburi.
 
Kama tulivyoahidi hapo awali kwamba tutawaletea hapa kila kinachoendelea kwenye ukombozi wa nchi unaoitwa Oparesheni 255 , Okoa Bandari zetu .

Leo Freeman Mbowe amefika Nyarugusu , ambako wananchi wamemlazimisha kuitisha kura za wazi kuhusu Mkataba wa Bandari , Kama ilivyo kawaida yake Mh Mbowe Ametii amri hiyo ya Wananchi , na mara moja akaitisha kura hiyo .

Matokeo :

Waliokubali Bandari kuuzwa ni Sifuri , bali wananchi wote wametaka Mkataba huo uvunjwe haraka .

View attachment 2711919
Kinachoogopesha ni kwamba hakuna aliyesombwa
 
Back
Top Bottom