Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 760
- 1,444
Ila ndugu zako wanaoutumia ARV unawaona kichwa sio?au mnatengeneza nyie hizo Arv?Huyu nae kaanza kuyumba namuonaga kichwa lkn kwa hiyo chanjo ha ha ha!
Ila ndugu zako wanaoutumia ARV unawaona kichwa sio?au mnatengeneza nyie hizo Arv?Huyu nae kaanza kuyumba namuonaga kichwa lkn kwa hiyo chanjo ha ha ha!
Wewe ndio unamuita Mkiti wako Dalali..Soma vizuri kwa utuo uone kama kuna neno nimetumia udalali..rudia vizuri kusoma
Wewe ukiipata unakufaKwani chanjo inazuia kifo au kwamba ukipata corona lazima ufe? sijaelewa.
Ndiyo mungu wenu na sasa kawacheni WAJANEYuko kule walikoenda hadi mitume wa Mungu,juzi hapa mume wa Malkia nae kaenda huko huko inaonesha ni kuzuri huko.
Kila kifo kina sababu kama kifo changu kitakuwa hivyo kawaida tu,kama ambavyo wengine wamekufa huko baada ya kudungwa chanjo ya corona Astrazeneca. Kwahiyo ni kawaida tu mwisho zote ni sababu tu kukiendea kifo.Wewe ukiipata unakufa
Tatizo hata huko zilikoanzia walianza na kauli tamu zitakuwa hiyari walipoona watu hawataki wakaanza matangazo kama ya biashara. Kiona bado watu wengi wanazigomea sasa wanatishia kuwazuia kusafiri, na kwenda sehemu muhimu mpaka chanjo.Wewe kama hutaki hiyo chanjo basi waache wenzako wapate maana hulazimishwi.
Pata Balimi Kubwa Ya Moto..Bill ntalipaHatuna muda ya kumjibu kila mburula kwa utopolo alioandika. Bando zenyewe bei wapepandisha.
Bottom line:
1. chanjo ni suala binafsi. Tusipangiane. Anayetaka kuchanjwa na achanjwe.
2. AstraZeneca haina madhara ya moja kwa moja kwa watumiaji.
3. AstraZeneca storage na transportation yake ni bora zaidi.
4. AstraZeneca ni kinga ya Corona kama zingine.
5. Chanjo hizi kupitia COVAX ni bure.
Habari mbaya hizi ziwafikie mamburula wote kokote kule waliko.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Huyo aliyebeza chanjo leo yuko wapi ?
mbona wewe hujafa?Corona ni kifo
Kufa kwanza wewembona wewe hujafa?
Au hii chanjo ndiyo ilipelekea akaumwa sana mpaka kupotea kwa kipindi fulani, usikute damu ya mwenyekiti wetu iliganda.
Yapo mengi lakini dawa zake zipo,ukizibeza unakwenda na maji.Hamna magonjwa mengine yanayoua?
Kwa hivyo huyu jamaa anataka tuamini kuwa yeye ni mfanya biashara sasa? Si aseme tu alikwenda nje kufata chanjo kwa vile Tanzania haipatikani?Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa nje ya nchi kibiashara
Aidha amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan aharakishe mchakato wa Uchunguzi dhidi ya Corona ili hatua stahii zichukuliwe mapema na kuepusha vifo vinavyoweza kutokea
Amesema awali wao walitaka nchi ichukue hatua stahiki sio kwa maana ya kuifungia nchi bali kuwa na vituo vya kupima watu, kuwa na ventilators za kutosha na vifaa kwa wahudumu wa afya ili kukabiliana na ugonjwa
😂😂😂😂Kwamba yule kuku alikua na kideri
Pata Balimi Kubwa Ya Moto..Bill ntalipa