Mbowe: Nimepata chanjo ya AstraZeneca, Serikali iharakishe kuchukua hatua za kuikabili COVID19

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,876
Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa nje ya nchi kibiashara

Aidha amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan aharakishe mchakato wa Uchunguzi dhidi ya Corona ili hatua stahii zichukuliwe mapema na kuepusha vifo vinavyoweza kutokea

Amesema awali wao walitaka nchi ichukue hatua stahiki sio kwa maana ya kuifungia nchi bali kuwa na vituo vya kupima watu, kuwa na ventilators za kutosha na vifaa kwa wahudumu wa afya ili kukabiliana na ugonjwa
 
Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa nje ya nchi kibiashara

Aidha amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan aharakishe mchakato wa Uchunguzi dhidi ya Corona ili hatua stahii zichukuliwe mapema na kuepusha vifo vinavyoweza kutokea

Amesema awali wao walitaka nchi ichukue hatua stahiki sio kwa maana ya kuifungia nchi bali kuwa na vituo vya kupima watu, kuwa na ventilators za kutosha na vifaa kwa wahudumu wa afya ili kukabiliana na ugonjwa
Kwa taifa masikini kama letu inambidi rais ajitahidi aagize wizara husika kuharakisha upatikanaji wa chanjo.

Corona ipo na siyo ya kufanyia mbwembwe wala kutafutia umaarufu
 
Back
Top Bottom