Shujaa wenu kang'okaMwenyekiti wa kudumu kapata chanjo , pongezi kwake tafadhali
Shujaa wenu kang'okaMwenyekiti wa kudumu kapata chanjo , pongezi kwake tafadhali
Kweli mwendazake kawagandisha akiliAcha ujuaji mzee wangu. Umepata wewe inatosha. Shukrani umetuwakilisha vyema.
Mbaya zaidi hata ughaibuni wenyewe bado hawana uhakika na chanjo yenyewePamoja na woga wangu juu ya COVID 19 na athari zake lakini bado nafsi inajawa hofu na hizi chanjo.....nikiutazama utaratibu wa research za chanjo hadi uizinishwaji wake na namna hili jambo linavyopelekwa msobe msobe na wanasiasa.......ngoja tuone...
Jiwe limeshageuka mchangaKwa hiyo ndugu kupata chanjo ya Corona imekuwa ni jambo la kujisifia tena?
Nyie chanjeni na ikija tusilazimishane,Sisi wengine ni vijana tuna afya zetu imara Corona kwetu ni ugonjwa wa kufikirika tu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hata ukifa hakuna hasaraMbaya zaidi hata ughaibuni wenyewe bado hawana uhakika na chanjo yenyewe
Kakonda anakohoa lkn bado yupo hai hapa duniani.Sasa Kama kapata chanjo mbona kakonda sana hakafu alikuwa anakohoa sana kwenye press conference kulikoni?
Wewe hujalazimishwa na ikikukamata corona lazima ikukamue tuAnawafurahisha Mabeberu kuwa anafuata matakwa yao,hovyo kabisa.
Aliyepuuza ushauri wa kitaalam/kiafya leo hii yupo akheeraKwa hiyo ndugu kupata chanjo ya Corona imekuwa ni jambo la kujisifia tena?
Nyie chanjeni na ikija tusilazimishane,Sisi wengine ni vijana tuna afya zetu imara Corona kwetu ni ugonjwa wa kufikirika tu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu chanjo inaletwa tena fasterNi vizuri sana hapa tz sijui tuandamane chanjo iletwe
Wewe mbona imeshaganda?Kama kapata chanjo asubiri damu kuganda hasa kwenye ubongo.
Hongera sana ndugu kwa kuthamini uhai wako na mungu akubariki.Leo nimeenda kula restaurant kwa mara ya kwanza baada ya miezi 13 ya kutoweza kujichanganya.
Kwa uhuru nilioupata baada ya kumaliza wiki mbili toka kuchanjwa chanjo ya pili ya Pfizer.
Hawa mataga bado wana maruwe ruwe baada ya mfadhili wao kuwatokaUkiamua kutembea na mtu usiyemjua, una uamuzi wa kutumia kinga au kutotumia. Hakuna anaekulamisha. Hivyo hivyo kwa chanjo. Kama wewe hautaki usiwazuie wengine wasichanjwe hata kama wangependa kuchanjwa. Huo ni upuuzi na ukatili uliopitiliza.
Amandla...
Na damu kuganda kwa muda fulani kunapunguza uwezo wa kurudisha kumbukumbu kwa haraka.Au hii chanjo ndiyo ilipelekea akaumwa sana mpaka kupotea kwa kipindi fulani, usikute damu ya mwenyekiti wetu iliganda.
Hayo ni maoni yangu hatuwezi kufanana kuwa huru na itikadi zako.Kweli mwendazake kawagandisha akili
Wewe ndio unamuita Mkiti wako Dalali..Soma vizuri kwa utuo uone kama kuna neno nimetumia udalali..rudia vizuri kusomaAstraZeneca ni chanjo ambayo kusaifirisha na kuitunza kwake ni rahisi zaidi.
Haupo ushahidi wa moja kwa moja kuwa ina madhara.
Hata inayosemekana kuwa ni madhara, ni kwa kiwango kipi?
Tunapatiwa ikiwamo chanjo hii bure kupitia COVAX.
Udalali wa Mbowe hapo uko wapi?
mmawia acha kutetea ujinga mbowe ni mla rushwa tu atakuwa keshapata mgao wa Bill anakuwadia chanjo, aibu Sana.Wewe mbona imeshaganda?
Yuko kule walikoenda hadi mitume wa Mungu,juzi hapa mume wa Malkia nae kaenda huko huko inaonesha ni kuzuri huko.Yule mwenye PhD yuko wapi muda huu?
Kwani chanjo inazuia kifo au kwamba ukipata corona lazima ufe? sijaelewa.Hutaki wacha maana hulazimishwi tutakuzika tu
Mkuu wewe hutaki kuishi milele? chanjo ya corona inakufanya uishi bila kufa.kama umepata chanjo si inatosha mzee?
sasa unataka na sisi tufuate akili zako wewe?