Mbowe na tafakuri zake...

Mbowe na tafakuri zake...

Cha msingi hapa ni mabadiliko ya katiba.There is no way we can pressurise the ruling part kufanya mabadiliko ya katiba.

Ni bora watanzania waaenze mass action na movements za kutosha kuharakisha mabadiliko ya katiba.
 
Katika uchaguzi kinahcohitajika si mabadiliko tu ya sheria lakini mabadiliko ya utaratibu mzima, pamoja na tume ya kusimamia uchaguzi na UWT kupigwa marufuku kuwa na jukumu lolote katika usimamiaji wa kuhesabu kura.
 
Jamani huyu Freeman Mbowe alikopa pesa NPF (NSSF) kama alivyokopa Mh. FT Sumaye!! Sasa huo si ufisadi? Nadhani hao wote ni mafisadi! Mbowe asionewe huruma!!
 
Jamani huyu Freeman Mbowe alikopa pesa NPF (NSSF) kama alivyokopa Mh. FT Sumaye!! Sasa huo si ufisadi? Nadhani hao wote ni mafisadi! Mbowe asionewe huruma!!

Kimbunga wewe ukikopa na ukawa na deni ni ufisadi ?Hakuna cha huruma hapa ila tuangalie nini maana ya kukopa na huwezi kukopa na ukawa unaingizwa mkenge baada ya kukopa then ukalipa kinyume na taratibu .Kwani kakataa kulipa ? Hivi alikopa lini ? Kwa nini hajaundiwa Tume ama NSSF kupiga kelele ila analalama Rostam ?Manji alikopa sawa na Mbowe .Kukopa si dhambi na ndiyo biashara ilivyo .
 
Jamani huyu Freeman Mbowe alikopa pesa NPF (NSSF) kama alivyokopa Mh. FT Sumaye!! Sasa huo si ufisadi? Nadhani hao wote ni mafisadi! Mbowe asionewe huruma!!

kimbunga umeanza na moto posti moja umekuja hivyo?

au mwenzetu una nyingi ila kwa jina hili ndio moja? kama hivyo unaonekana ni mwoga njoo kwa rangi yako ya asili ujibu hoja kwa hoja
 
Mbowe should be doing more of these, his stature would be bolstered. Especially so at the grassroots, in villages, using simple and understandable language.

This is a good and balanced speech for that audience.
 
Katika uchaguzi kinahcohitajika si mabadiliko tu ya sheria lakini mabadiliko ya utaratibu mzima, pamoja na tume ya kusimamia uchaguzi na UWT kupigwa marufuku kuwa na jukumu lolote katika usimamiaji wa kuhesabu kura.

Jasusi:
Hakuna upinzani wowote utakaofanikiwa Tanzania bila ya kubadilisha mfumo mzima wa uendeshaji wa chaguzi. Na ili kubadili sheria hizi zinazowanyima haki wapinzani, ni shurti sheria mama ifanyiwe mabadiliko makubwa (siyo ya kuweka viraka tu). Chama tawala wanafaidika na mfumo uliopo, kwa hiyo hawaoni ulazima wa kubadili chochote.
Ni jukumu la vyama pinzani kufanya juhudi kubwa, wakishirikiana na wadau wa mashirika (NGO) na wananchi kwa ujumla kuyaleta mabadiliko hayo. Kwa bahati mbaya, vyama vya upinzani kazi hii imewawia ngumu sana kuitekeleza.

Bado hapajatokea watu (viongozi) wachache wenye mvuto mkubwa na wanaoweza kuwaunganisha wadau na kuyaelezea mambo hayo mhimu kwa wananchi na kuilazimisha serikali ya CCM ili mabadiliko hayo yafanyike. Bila ya hayo mabadiliko kufanyika, siasa za upinzani Tanzania zitaendelea kuwa ngumu.
 
Kimepita kitambo Mwenyekiti wa Chama cha Kidemokrasia (Chadema)hajasikika kwa makala zake zile maarufu kama "Tafakuri ya Mbowe".

JF ikiwa ni jungu kuu lisilo kosa ukoko nawasilisha rasmi kwenu wadau kuulizia kulikoni Mwenyekiti mbona kimya?



Labda ilikuwa ni sehemu ya research yake, maana alikuwa mwanafunzi wakati huo
 
Mbowe yuko busy, kadandia boti la Dr. Slaa na Zitto, wasije wakamzidi kete.

Wapenzi wake wanaami Mbowe naye eti anaweza kuwa rais. I ngelikuwa huku majuu vijana wangeshaanza kuchangamkia post yake, lakini kwa nyumbani haiwezekani maana bila resources sio rahisi kuwang'oa wazee hata kama wanajikongoja.

mara ya mwisho nilisoma mbowe akisema kwamba kuna watu wanampigia ramli ili wafanye yeye na zitto wasielewane, haki ya nani nilicheka......bwahahahaa.. kweli elimu ina thamani ! yeye anawaza kupigiwa ramli..
 
KadaMpinzani,
Mkuu hizo safari za Bagamoyo kila Jumapili zimekwisha?
 
KadaMpinzani,
Mkuu hizo safari za Bagamoyo kila Jumapili zimekwisha?

ahhhh.... kumbe ni kweli ? basi mheshimiwa Mbowe aliingia kwenye mkenge mwenyewe, jamani jamani mbowe awe makini na kauli zake anazotoa jamani eeh !Kwa kuwa anataka uongozi kwa nguvu na mali, sidhani kama safari za b'moyo zitaisha any time soon !
 
Hakuna Hata mmoja mwenye jibu la kwa nini hatuoni tena makala zake? maana yote hapo juu ni kutapata, hakuna alinayeeleza kwa nini yuko kimya kwa sasa. Nakumbuka wakati JF watu walikuwa nanajadili kwa data, huu ndio muda wa kupata au kupeana majibu kwa data sio kwa kufikiria tu, hili au lile. Walioko karibu nae wamwulize ili jamii ijue vipi? Kaka Myika waweza saidia kwenye hili au mwenezi wa CHADEMA. Tuweke facts jamvini sio maneno matupu
 
Hakuna Hata mmoja mwenye jibu la kwa nini hatuoni tena makala zake? maana yote hapo juu ni kutapata, hakuna alinayeeleza kwa nini yuko kimya kwa sasa. Nakumbuka wakati JF watu walikuwa nanajadili kwa data, huu ndio muda wa kupata au kupeana majibu kwa data sio kwa kufikiria tu, hili au lile. Walioko karibu nae wamwulize ili jamii ijue vipi? Kaka Myika waweza saidia kwenye hili au mwenezi wa CHADEMA. Tuweke facts jamvini sio maneno matupu

naunga mkono Mnyika aje atueleze nini kilichomsibu bosi wake ! mbona kimya, kunani ?
 
Awaeleze wewe na nani? Acha umbea kijana fanya kazi

nafikiri hapa tunaongea mambo ya maana Ben, na kama unaona hutaki kuwa mmoja wa hao wa kuelezwa juu ya maendeleo ya mbowe, sio lazima uchangie hii thread, zipo threads nyingi tu na unaweza kwenda huko kuchangia !

Bora saa nyingine ukae kimya na kuficha upumbavu wako !
 
nafikiri hapa tunaongea mambo ya maana Ben, na kama unaona hutaki kuwa mmoja wa hao wa kuelezwa juu ya maendeleo ya mbowe, sio lazima uchangie hii thread, zipo threads nyingi tu na unaweza kwenda huko kuchangia !

Bora saa nyingine ukae kimya na kuficha upumbavu wako !




Angalo leo umesema kitu.Kumbe unajua hivi sasa mbona siku zote hufanyi hivyo?

Ni lini ulijua hapa JF huwa tunaongea mabo ya maana? Ungejua hivyo ungeharibu mijadala huku kwa kuleta unazi kwenye mijadala muhimu ya taifa? Ndiyo maana wakati mwingine inanilazimu kukuuliza kama unakuaga fresh siku zote maanake huwa najiuliza unavutaga nini kabla hujapost hapa JF.


Usinichekeshe Eti kujadili masuala ya MBOWE kiudaku udaku ndio mambo ya maana? Plz usiiharibu JF kwa kutufanya wote tuoneekane wadaku,tafadhali heshimu member wa hapa.

wewe na wenzako mko tu busy kuharibu thread za maana kama Buzwagi,EPA,Richmond etc. halafu mnajifanya kuwa serios na persona lives za wanasiasa hapa.Hili Jamvi ni kwa ajili ya mambo mazito ya taifa tu!
 
[/B]



Angalo leo umesema kitu.Kumbe unajua hivi sasa mbona siku zote hufanyi hivyo?

Ni lini ulijua hapa JF huwa tunaongea mabo ya maana? Ungejua hivyo ungeharibu mijadala huku kwa kuleta unazi kwenye mijadala muhimu ya taifa? Ndiyo maana wakati mwingine inanilazimu kukuuliza kama unakuaga fresh siku zote maanake huwa najiuliza unavutaga nini kabla hujapost hapa JF.


Usinichekeshe Eti kujadili masuala ya MBOWE kiudaku udaku ndio mambo ya maana? Plz usiiharibu JF kwa kutufanya wote tuoneekane wadaku,tafadhali heshimu member wa hapa.
wewe na wenzako mko tu busy kuharibu thread za maana kama Buzwagi,EPA,Richmond etc. halafu mnajifanya kuwa serios na persona lives za wanasiasa hapa.Hili Jamvi ni kwa ajili ya mambo mazito ya taifa tu!

mzee highlighted area # 1 - yaani hapo naona umenidharau..mimi sivuti bana na kama nilishawahi then thats history !

area 2 - masuala ya mbowe kiudaku una maana gani ? ninachofahamu mimi ni kwamba kuna seksheni maalum kwa ajili ya udaku humu, sasa kama wewe unasema ni udaku na "authority" wanauachia humu uendelee basi hiyo inajielezea yenyewe! Nataka UKUMBUKE NA WENGINE PIA WAKUMBUKE kwamba kama udaku basi naweza nikasema 65% ya other posts/threads ambazo wengi huchangia pia ni udaku, kwa nini ? facts huwa facts siku zote, lakini utakuta watu wanadifferent views kabisaaaaa.. mfano kifo cha ballali, there are 2 things, either he is dead or not ! confirmed info zinasema kafa, thats a fact ! lakini unajua ni kiasi gani hadi leo watu wanatwist mambo kuhusiana na kifo chake ? sasa huo nao ni udaku au sio ? tena mbaya zaidi kuna mengi zaidi ya hayo kwenye kifo cha ballali, FREEMAN AIKAELI MBOWE mwenyewe ambaye unasema namuongelea udaku humu, alinukuliwa akisema kwamba ballali kauliwa na ccm ! lakini hadi leo anashindwa kutuambia how, when, where, why ?? je huyu nae unaweza kumlebo kama muongeaji udaku ?

mimi na "hao wengine" ambao sijui ni akina nani, maana naamini kila mtu hapa kaja kivyake, hatuna uwezo huo unaodai tunao kwamba tunavuruga mada. Hatuna huo uwezo hivyo please mzee usitupachike kitu ambacho we have no control over.... hao wengine akina nani by the way ? unataka kuniambia waheshimiwa members wooote waliobaki watuachie tu tuchafue mada huku wao wachekelee ?? no, i beg to differ !

upo hapo ??
 
Back
Top Bottom