Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,222
Respect mkuu,
Naona sasa umekaa sawa! Hapo nimekuelewa kiaina. Hao werngine nilimaanisha wewe na Masaka,Sam,Zemarcopolo,Shy nwa wengine kama hao.Maaanake unaposema ulikuja kivyako sikuelewi kwani kuna posti mwenzako MASAKA alikua anajisifia kwamba mmekuja kupambana na wanachadema sa if members humu ndani wote ni wanachama wa vyama vya siasa.
Mbona alipokutaja kwanini hukuongea haya maneno uliyoongeahapa ndani leo?
Naona sasa umekaa sawa! Hapo nimekuelewa kiaina. Hao werngine nilimaanisha wewe na Masaka,Sam,Zemarcopolo,Shy nwa wengine kama hao.Maaanake unaposema ulikuja kivyako sikuelewi kwani kuna posti mwenzako MASAKA alikua anajisifia kwamba mmekuja kupambana na wanachadema sa if members humu ndani wote ni wanachama wa vyama vya siasa.
Mbona alipokutaja kwanini hukuongea haya maneno uliyoongeahapa ndani leo?